Nipokeeni

Nipokeeni

TIQO

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
13,786
Reaction score
2,102
Jamani naomba mnipokee nataka kuwa member wenu wa kudumu humu kwa kushirikiana nanyi kwenye shida na raha, nawakilisha hoja mezani.
 
Kumbe kuna kupiga hodi, mimi niliingia tu. Nimetoka zangu huko nimelewa stress zangu za Jukwaa la Siasa nikasukuma mlango mpaka ndani. duh! kumbe wenyeji wana taratibu zao!!
 
Karibu TIQO,ila ujue hapa vigezo na masharti lazima vizingatiwe.
Sijajua kama wewe ni mdada/mkaka,yote kwa yote jua humu kila mtu ana wa kwake,tunaishi kikapo (ingawa cheating ipo kwa sana), hivyo ka vipi katafute mwandani mjiunge naye hapa (wakware wakimtaka usikasirike).
Sawa mkuu?
Copy: kiplagati26 c/o orotoitoch hotel,nakuru.
 
Last edited by a moderator:
Karibu TIQO,ila ujue hapa vigezo na masharti lazima vizingatiwe.
Sijajua kama wewe ni mdada/mkaka,yote kwa yote jua humu kila mtu ana wa kwake,tunaishi kikapo (ingawa cheating ipo kwa sana), hivyo ka vipi katafute mwandani mjiunge naye hapa (wakware wakimtaka usikasirike).
Sawa mkuu?
Copy: kiplagati26 c/o orotoitoch hotel,nakuru.

Mi ni dume la mbegu Bishanga kwa minajiri hiyo mgeni yeyote wa kike atakae jiunga atakuwa wangu?
 
Last edited by a moderator:
Jamani naomba mnipokee nataka kuwa member wenu wa kudumu humu kwa kushirikiana nanyi kwenye shida na raha, nawakilisha hoja mezani.

Unakaribishwa ila ukiingia vua viatu kwanza.
wel.gif
 
Back
Top Bottom