Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Kila uchao naamini uhalali wa ccm kuendelea kuitawala tz hii kwa mgongo wa K/nyanya unafika kikomo!
Hali ya maisha vijiji inatisha ndugu zangu na watu wameanza kuamka, sasa wanasema bila kutafuna manene kuwa ccm ijiandae kuwa chama cha upinzani na wanapendekeza kuwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani atakuwa Nape!
Kwakweli sijawahi kuona Wanyalu wakiwa na hasira na ccm kiasi kile! Wanadai maisha yamekuwa magumu kupita kiwango!
Utafiti nilio ufanya ktk vijiji sita vya kata yetu juu ya mahitaji muhimu ya binadamu yapo juu kuliko hapa dar.
Mafuta ya taa lita 2,700/
Sukari kg. 2,500/
Chumvi kipaketi 500/
Sabuni kipande (komoa)400/
Kibiriti 100/
Lita moja ya ULANZI 200/
Bia 2,000/
Soda 600/
Usafiri umbali wa km 12 wenyeji wanatembea kwa miguu mpaka stendi,kukodi gari 25,000/
Zahanati ipo kila ukienda uwe 5,000/ mkononi
Shule ya msingi ipo na imefaulisha 28 kt 88
Shule ya sekondari ipo bado ni mpya!
Maisha ya wakaazi ni ya wakulima na walevi waliochoka na maisha, kijana wa miaka 20 ukimuona utadhani ni mzee wa miaka 60!
Hali ya hewa ni baridi na ukungu la kufa mtu!
Hali ya chakula si nzuri watahitaji msaada mda si mrefu!
Nimeamua kurejea mjini ili kupambana vizuri na serikali dharimu ya ccm na Kikwete wao baada ya kuwahamasisha na kutoa elimu ya uraia kwa vijana wote ktk kata yetu! Nimewafahamisha kuwa vyama vingi si uhalifu na nikawaambia vijana kwa wazee ccm haiongozwi na Nyerere kama wanavyo dhani,ila inaongozwa na muhuni fulani aliyempigu Vasco Dagama!
Nashukuru wamenielewa wakafanya tambiko la nguvu na kunituma nije town kulikomboa taifa!
Nimewaahidi kila mwaka nitakwenda kuwaelimisha na kuuweka wazi uozo wa ccm mpaka 2015!
Hali ya maisha vijiji inatisha ndugu zangu na watu wameanza kuamka, sasa wanasema bila kutafuna manene kuwa ccm ijiandae kuwa chama cha upinzani na wanapendekeza kuwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani atakuwa Nape!
Kwakweli sijawahi kuona Wanyalu wakiwa na hasira na ccm kiasi kile! Wanadai maisha yamekuwa magumu kupita kiwango!
Utafiti nilio ufanya ktk vijiji sita vya kata yetu juu ya mahitaji muhimu ya binadamu yapo juu kuliko hapa dar.
Mafuta ya taa lita 2,700/
Sukari kg. 2,500/
Chumvi kipaketi 500/
Sabuni kipande (komoa)400/
Kibiriti 100/
Lita moja ya ULANZI 200/
Bia 2,000/
Soda 600/
Usafiri umbali wa km 12 wenyeji wanatembea kwa miguu mpaka stendi,kukodi gari 25,000/
Zahanati ipo kila ukienda uwe 5,000/ mkononi
Shule ya msingi ipo na imefaulisha 28 kt 88
Shule ya sekondari ipo bado ni mpya!
Maisha ya wakaazi ni ya wakulima na walevi waliochoka na maisha, kijana wa miaka 20 ukimuona utadhani ni mzee wa miaka 60!
Hali ya hewa ni baridi na ukungu la kufa mtu!
Hali ya chakula si nzuri watahitaji msaada mda si mrefu!
Nimeamua kurejea mjini ili kupambana vizuri na serikali dharimu ya ccm na Kikwete wao baada ya kuwahamasisha na kutoa elimu ya uraia kwa vijana wote ktk kata yetu! Nimewafahamisha kuwa vyama vingi si uhalifu na nikawaambia vijana kwa wazee ccm haiongozwi na Nyerere kama wanavyo dhani,ila inaongozwa na muhuni fulani aliyempigu Vasco Dagama!
Nashukuru wamenielewa wakafanya tambiko la nguvu na kunituma nije town kulikomboa taifa!
Nimewaahidi kila mwaka nitakwenda kuwaelimisha na kuuweka wazi uozo wa ccm mpaka 2015!