hivi kufunga ndoa ni nini hasa?
mwanaume kukamilisha taratibu za mahali au mpaka mambo ya kanisani na ukumbini?
kama ni hayo ya kanisani na ukumbini utamkosesha mume mwenzio.
vijana siku hizi hatuoi sababu ya gharama za harusi.
harusi siku hizi imegeuka sehemu ya kutiana umaskini na kutajirisha wengine.
Hakuna mtu ameongelea harusi hapa mkuu usitake kunilisha maneno. Kuuna ndoa za aina nyingi....nizijuazo mimi ni ndoa za kimila,kidini na zile za serikalini....yoyote atakayotumia yeye mradi iwe ni NDOA
mbona sijaona how her age is relevant na alichoandika mtoa mada. sijaelewa kwanini mmemuandama kiasi hiki? okay which is not possible???
1. giving birth at 44 or 43??
2. mkaka kutaka kumuoa mtoa mada mwenye 44yrs?? [haha its funny thou but lets not rule out the possibilities that in our country with 46M people it still can be possible]
Mkuu,wakat mwingne unanichekesha mpaka nafurah, yaan unakuwa kam ni mshirika wangu kikazi na makazi!!! Ila siyo neno...hata huu urafiki wa kugongana kimawazo ndani jf ni urafki mtamu zaidi. NITAFUNGU UZI, "MOYO WANGU USEMAVYO"
Mkuu mbona unazidi kunichanganya yaani unaweza kuchekeshwa lakini usifurahi?? mimi mwenyewe ndio ninakipaji cha kukuchekesha mpaka ukafurahi !!That's good kwaiyo ninafwata nyayo za Mr.been
usikute nimefikiria mbali hapo Mimi ni shirika wako kikazi na makazi ulimaanisha nini??? kama ulimaanisha ninavyofikiri basi usifafanue
Ninausubiri huo urafiki "Mtamu zaidi" Ni nadra sana kuupata huo urafiki inawezekana nikaupata kwako