Notmiz
Member
- Dec 15, 2017
- 54
- 20
Shikamooni jamaai
Mi ni mwanafunzi wa kidato cha sita natarajia kumaliza form six next year kama MUNGU akinijalia....tatizo langu ni kwamba mi kwasasa nasoma combination CBG lakini kumekua na uvumi kwamba et yaani course za afya au vyuo vya afya hatuweZi Ku apply kwasababu hatuna physics.....dash hebu nisaidieni jamani. Maana nipo njia panda
Mi ni mwanafunzi wa kidato cha sita natarajia kumaliza form six next year kama MUNGU akinijalia....tatizo langu ni kwamba mi kwasasa nasoma combination CBG lakini kumekua na uvumi kwamba et yaani course za afya au vyuo vya afya hatuweZi Ku apply kwasababu hatuna physics.....dash hebu nisaidieni jamani. Maana nipo njia panda