sambenet
Member
- Mar 5, 2011
- 47
- 7
habari zeni Great thinkers, Naanza kama ifuatavyo, Kitambo niliwahi kuomba msaada kupitia Jamvi hili kuhusu Mchumba wangu.
Mimi ni kijana wa Kiume Nilieko Ughaibuni na nilimchumbia Msichana mmoja baada ya kukubaliana, ingawa mwanzo alikuwa na whats so called "sitaki nataka".
Sasa tatizo lipo kwenye mawasiliano maana mimi ndo nipige simu kila wiki na kama sikupiga basi ndo haniulizi naweza kukaa wiki 3 nisipate hata sms 1. nikimuuliza oo simu haina credits, oo mara sim mbovu. Ila akiwa na shida ya kitu lazima atatuma sms na kwa namba hiohio yake. Mama yake aliniambia kweli sim ya mwanawe ina matatizo kweli na namuamini kwa hilo.
Kinachoniumiza na kujiuliza je kweli inawezekana mtu mchumba wake asiwasiliane nae hata sms kwa sim ya mtu mwengine kama ya Mama yake au Baba ake. Nahisi hana feelings kwangu au Mnanisaidiaje Kwa hili?
Jengine ni kwamba nilikuwa na mahusiano au urafiki na msichana mmoja hukohuko Tanzania kabla sijaondoka ila nilikuwa nikiyaona ya kawaida tu,
Kumbe Mwenzangu alikuwa na hisia za Kimapenzi kwangu kwani nilikuja kugundua wakati nishafika huku Ughaibuni, alinimkia mwenyewe baadae baada ya kujua nina mchumba tayari. Lakini anawasiliana nami kila siku ya Mungu mpaka naanza kumuonea huruma Kwa bidii yake.
Hebu jamani nipeni ushauri hapa maana sijui niamue nini mpaka sasa.
Mimi ni kijana wa Kiume Nilieko Ughaibuni na nilimchumbia Msichana mmoja baada ya kukubaliana, ingawa mwanzo alikuwa na whats so called "sitaki nataka".
Sasa tatizo lipo kwenye mawasiliano maana mimi ndo nipige simu kila wiki na kama sikupiga basi ndo haniulizi naweza kukaa wiki 3 nisipate hata sms 1. nikimuuliza oo simu haina credits, oo mara sim mbovu. Ila akiwa na shida ya kitu lazima atatuma sms na kwa namba hiohio yake. Mama yake aliniambia kweli sim ya mwanawe ina matatizo kweli na namuamini kwa hilo.
Kinachoniumiza na kujiuliza je kweli inawezekana mtu mchumba wake asiwasiliane nae hata sms kwa sim ya mtu mwengine kama ya Mama yake au Baba ake. Nahisi hana feelings kwangu au Mnanisaidiaje Kwa hili?
Jengine ni kwamba nilikuwa na mahusiano au urafiki na msichana mmoja hukohuko Tanzania kabla sijaondoka ila nilikuwa nikiyaona ya kawaida tu,
Kumbe Mwenzangu alikuwa na hisia za Kimapenzi kwangu kwani nilikuja kugundua wakati nishafika huku Ughaibuni, alinimkia mwenyewe baadae baada ya kujua nina mchumba tayari. Lakini anawasiliana nami kila siku ya Mungu mpaka naanza kumuonea huruma Kwa bidii yake.
Hebu jamani nipeni ushauri hapa maana sijui niamue nini mpaka sasa.