toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Nina week ya pili sasa nipo Mbeya
Huu mji una fursa sana. Maisha yapo marahisi sana
Vyakula vya kutosha, maji sio tatizo
Hali ya hewa ya ubaridi ila mwezi huu ni balaa ila bora baridi kuliko joto
Jana nilienda Kyela kutembea
Mbeya kuna fursa sana, kilimo na ufugaji hapa ndo mahala pake
Jamani pia biashara ya nafaka unaweza pata huku
Ila jamani nielekezeni sehemu nzuri za kuenjoy na kula bata mbeya
Huu mji una fursa sana. Maisha yapo marahisi sana
Vyakula vya kutosha, maji sio tatizo
Hali ya hewa ya ubaridi ila mwezi huu ni balaa ila bora baridi kuliko joto
Jana nilienda Kyela kutembea
Mbeya kuna fursa sana, kilimo na ufugaji hapa ndo mahala pake
Jamani pia biashara ya nafaka unaweza pata huku
Ila jamani nielekezeni sehemu nzuri za kuenjoy na kula bata mbeya