John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
Jamani niembeeni safari njema niko kwenye basi hapa jirani yangu anakula mahindi ya kuchoma mayai na anakunywa maziwa ya mtindi haya bila shaka. Sijui hata itakuwaje hapo badae maana safari yenyewe tunafika kesho asubuhi.