Nipo katika mahusiano na wasichana sita

Nipo katika mahusiano na wasichana sita

Status
Not open for further replies.

Isaack Newton

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2013
Posts
619
Reaction score
371
Habari wakuu,!

Nimekuwa na mahusiano na wasichana sita ambao kila mmoja nafanya nae mapenzi, lakini napenda sana kuachana na hii tabia chafu ya kuwa na wasichana wengi na nimejaribu sana kujiweka busy na mambo ya muhimu lakini wapi, natamani hata niende kwa mchungaji akaniombee jamani maana mimi mwenyewe nimeomba lakini naona maombi hayajibiwi.

Na wasichana wengine huwa wananiambia wananipenda( sijisifii) na sio kwamba mimi ni handsome boy na wala sina hela ya kusema eti msichana anipende.

Nimeomba ushauri sana kwa marafiki zangu ambao hawana hii tabia lakini bado siachi jamani yani tangu nianze kufanya mapenzi, nimefanya na wasichana zaidi ya kumi,!

Mwezi uliopita nimechangia damu majibu yamerudi niko poa na blood group langu ni B+,! Sasa nataka niiache hii tabia lakini nafsi bado inanisukuma nisiache nifanyaje jamani?

Nipo serious.!
 
Huna haya usiyejua vibaya,kipi kinachokushindwa kuacha? Msimsingizie shetani na mambo yenu eti unatamani kuacha kama unatamani kuacha si uache! Huna ndoto zozote maishani za kukufanya ufanye juhudi kuhakikisha unazitimiza zaidi ya kufungua na kufunga zipu tu? Jipange!
 
Juzi kati nimepiga hesabu ya wasichana niliotembea nao, nimewakumbuka 96 wengine nimewasahau. lakini nimeacha siku hizi
 
njia ni rahisi saana
fanya hivi tafuta mke wa mtu tembea naye alafu hakikisha unafanya mbinu zozote mume wake ajue kuwa unamgongea kisha tengeneza mazingira akufumanie ukiwa na mke wake .

baada ya hapo rudi kutupa taarifa ya mafanikio yako kama umeacha au bado unaendelea kuomba ushauli
 
Habari wakuu,!
Nimekuwa na mahusiano na wasichana sita ambao kila mmoja nafanya nae mapenzi, lakini napenda sana kuachana na hii tabia chafu ya kuwa na wasichana wengi na nimejaribu sana kujiweka busy na mambo ya mhimu lakini wapi, natamani hata niende kwa mchungaji akaniombee jamani maana mimi mwenyewe nimeomba lakini naona maombi hayajibiwi.Na wasichana wengine huwa wananiambia wananipenda( sijisifii) na sio kwamba mimi ni handsome boy na wala sina hela ya kusema eti msichana anipende.Nimeomba ushauri sana kwa marafiki zangu ambao hawana hii tabia lakini bado siachi jamani yani tangu nianze kufanya mapenzi, nimefanya na wasichana zaidi ya kumi,! Mwezi uliopita nimechangia damu majibu yamerudi niko poa na blood group langu ni B+,! Sasa nataka niiache hii tabia lakini nafsi bado inanisukuma nisiache nifanyaje jamaniii?
Nipo serious.!

bado saana endelea tu ukifika kwenye 120 hivi utapunguza speed automatically!!!
 
Hebu dhamiria kabisa kuichukia hiyo tabia taratibu utaacha

Hayupo serious huyu....na kwa tabia yako hii,usipoacha mapema na kufanya maombi ya kukemea hiyo roho ya uzinifu basi laana ii na wana wako pia! Huwezi kuwa mwanaume mwenye kujitambua na bado ukajipiga piga kifua kwamba wewe ni bingwa wa kuseduce....shame upon you!Kwa kuwa mimi sio rafiki yako, ushauri wangu hautokufaa kwa kuwa umeshakiri marafiki zako wasio na tabia kama yako wamekushauri ila hukufuata ushauri wao!
 
njia ni rahisi saana
fanya hivi tafuta mke wa mtu tembea naye alafu hakikisha unafanya mbinu zozote mume wake ajue kuwa unamgongea kisha tengeneza mazingira akufumanie ukiwa na mke wake .

baada ya hapo rudi kutupa taarifa ya mafanikio yako kama umeacha au bado unaendelea kuomba ushauli

hahaha mkuu mbona unamshauri ndugu kifo mke wa mtu sumu cha kufanya hapo labda ukaonane na mshauri wa mambo ya kijamii anaweza kukusaidia kama ukapata kuhudhuria vipindi vya ushauri na kukutana na watu wenye tatizo kama lako. Ndio nnachoweza kukushauri.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom