Mtized one
Member
- Jul 27, 2011
- 46
- 7
Nipo dilema wadau...nisaidieni mawazo,
Mimi ni sijaoa..umri unanitosha,
ishu ipo hivi nina girl frnd ambaye ananipenda sana coz nimepitia c2atn kibao still akastand na mim..at the same time kuna binti nampenda naye ananipenda sana ambaye nilimpanga akaelewa kuwa nina Gf tukaiba mwisho tukabrek up coz alishindwa kuwa 2nd chance...sasa utofauti wao nikuwa huyo anaenipenda ana akili za maisha while huyu ninayempenda she thnks life z too easy hana mipango...kitabia they both cool. NOW NATAKA NIOPOE KI1 YUPI
<br />Hiyo nyekundu maana yake nini?
Kwa upande wangu kumshauri mtu ambaye sio mwaminifu siwezi. Ushauri wangu ni kuacha uasherati, kitendo cha ww kuwa na wapenzi wawili sio kizuri especially kwa yule 1st luv wako.Nipo dilema wadau...nisaidieni mawazo,
Mimi ni sijaoa..umri unanitosha,
ishu ipo hivi nina girl frnd ambaye ananipenda sana coz nimepitia c2atn kibao still akastand na mim..at the same time kuna binti nampenda naye ananipenda sana ambaye nilimpanga akaelewa kuwa nina Gf tukaiba mwisho tukabrek up coz alishindwa kuwa 2nd chance...sasa utofauti wao nikuwa huyo anaenipenda ana akili za maisha while huyu ninayempenda she thnks life z too easy hana mipango...kitabia they both cool. NOW NATAKA NIOPOE KI1 YUPI
<br />Je unaahidi au una mpango wa kuwa mwaninifu pindi utakapofunga pingu ya maisha?<br /><br />
<br /><br />
If yes! Oa umpendaye!<br /><br />
If not! Oa anayefaa kuwa mke!<br /><br />
<br /><br />
Don't ask me why! Just figure it urself!
<br />Hapa ndio sehemu watu wanafika wanachelewa kuoa....hii naona imenikuta...ukiacha uzuri wa sura..hamna anayependa kibaya..its mater of perseption...& the girl nilikua na chit nae stil yuko available(single) til now... I hv prov of tht coz 4 the time being we ar JUST FRIENDs..and she z so strictly on that term.."FRIENDS" hadi nitakapo mak dicision btn them...& I care both f 'em.Who to have..<br />
Am stil in Dilema ...can I be with the one who lovs me too much or otherwise?<br />
I need ua advise brothrz & sisters.
<br />Suala la uaminifu ni kitu kingine mdau..cwez semea hilo..Pili- Huwez mwita kicheche while inadepend najinc nilivyomwingia til the day namtaarifu abt mwenzake..it was late to her....3rd...Ukiwa mwanaume kuna vitu abt thz utanielewa ndugu yangu huwezi kusema uaminifu coz dah!..its Man nature to Concure...its a man theme..thats how we are we can love 1 & atracted by another at he same time..Plz don't judge in -ve way.