Nipo Dilema hook me up!

Mtized one

Member
Jul 27, 2011
46
7
Nipo dilema wadau...nisaidieni mawazo,
Mimi ni sijaoa..umri unanitosha,
ishu ipo hivi nina girl frnd ambaye ananipenda sana coz nimepitia c2atn kibao still akastand na mim..at the same time kuna binti nampenda naye ananipenda sana ambaye nilimpanga akaelewa kuwa nina Gf tukaiba mwisho tukabrek up coz alishindwa kuwa 2nd chance...sasa utofauti wao nikuwa huyo anaenipenda ana akili za maisha while huyu ninayempenda she thnks life z too easy hana mipango...kitabia they both cool. NOW NATAKA NIOPOE KI1 YUPI
 
Nipo dilema wadau...nisaidieni mawazo,
Mimi ni sijaoa..umri unanitosha,
ishu ipo hivi nina girl frnd ambaye ananipenda sana coz nimepitia c2atn kibao still akastand na mim..at the same time kuna binti nampenda naye ananipenda sana ambaye nilimpanga akaelewa kuwa nina Gf tukaiba mwisho tukabrek up coz alishindwa kuwa 2nd chance...sasa utofauti wao nikuwa huyo anaenipenda ana akili za maisha while huyu ninayempenda she thnks life z too easy hana mipango...kitabia they both cool. NOW NATAKA NIOPOE KI1 YUPI

Hiyo nyekundu maana yake nini?
 
Je unaahidi au una mpango wa kuwa mwaninifu pindi utakapofunga pingu ya maisha?<br />
<br />
If yes! Oa umpendaye!<br />
If not! Oa anayefaa kuwa mke!<br />
<br />
Don't ask me why! Just figure it urself!
 
Sasa hapo maamuzi ni yako,uchague mwanamke wa kula bata au wa ku-make life
 
Nipo dilema wadau...nisaidieni mawazo,
Mimi ni sijaoa..umri unanitosha,
ishu ipo hivi nina girl frnd ambaye ananipenda sana coz nimepitia c2atn kibao still akastand na mim..at the same time kuna binti nampenda naye ananipenda sana ambaye nilimpanga akaelewa kuwa nina Gf tukaiba mwisho tukabrek up coz alishindwa kuwa 2nd chance...sasa utofauti wao nikuwa huyo anaenipenda ana akili za maisha while huyu ninayempenda she thnks life z too easy hana mipango...kitabia they both cool. NOW NATAKA NIOPOE KI1 YUPI
Kwa upande wangu kumshauri mtu ambaye sio mwaminifu siwezi. Ushauri wangu ni kuacha uasherati, kitendo cha ww kuwa na wapenzi wawili sio kizuri especially kwa yule 1st luv wako.
Pili huyo dada anayekubali kuwa na ww wakati anafahamu una mpenzu naye ni kicheche na sio cool kama inavyodai.
 
Hapa ndio sehemu watu wanafika wanachelewa kuoa....hii naona imenikuta...ukiacha uzuri wa sura..hamna anayependa kibaya..its mater of perseption...& the girl nilikua na chit nae stil yuko available(single) til now... I hv prov of tht coz 4 the time being we ar JUST FRIENDs..and she z so strictly on that term.."FRIENDS" hadi nitakapo mak dicision btn them...& I care both f 'em.Who to have..
Am stil in Dilema ...can I be with the one who lovs me too much or otherwise?
I need ua advise brothrz & sisters.
 
Suala la uaminifu ni kitu kingine mdau..cwez semea hilo..Pili- Huwez mwita kicheche while inadepend najinc nilivyomwingia til the day namtaarifu abt mwenzake..it was late to her....3rd...Ukiwa mwanaume kuna vitu abt thz utanielewa ndugu yangu huwezi kusema uaminifu coz dah!..its Man nature to Concure...its a man theme..thats how we are we can love 1 & atracted by another at he same time..Plz don't judge in -ve way.
 
Je unaahidi au una mpango wa kuwa mwaninifu pindi utakapofunga pingu ya maisha?&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
If yes! Oa umpendaye!&lt;br /&gt;<br />
If not! Oa anayefaa kuwa mke!&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Don't ask me why! Just figure it urself!
<br />
<br />
Ninachoweza sema ni kuwa Nitamjali mke wangu nakumpa nafasi na vyote anavyostahili vitakavyokua ndani ya uwezo wangu.Natumaini hivyo na Mungu anisaidie japo najua lina changamoto zake.
 
Hapa ndio sehemu watu wanafika wanachelewa kuoa....hii naona imenikuta...ukiacha uzuri wa sura..hamna anayependa kibaya..its mater of perseption...&amp; the girl nilikua na chit nae stil yuko available(single) til now... I hv prov of tht coz 4 the time being we ar JUST FRIENDs..and she z so strictly on that term..&quot;FRIENDS&quot; hadi nitakapo mak dicision btn them...&amp; I care both f 'em.Who to have..<br />
Am stil in Dilema ...can I be with the one who lovs me too much or otherwise?<br />
I need ua advise brothrz &amp; sisters.
<br />
<br />
just follow ur heart
 
Suala la uaminifu ni kitu kingine mdau..cwez semea hilo..Pili- Huwez mwita kicheche while inadepend najinc nilivyomwingia til the day namtaarifu abt mwenzake..it was late to her....3rd...Ukiwa mwanaume kuna vitu abt thz utanielewa ndugu yangu huwezi kusema uaminifu coz dah!..its Man nature to Concure...its a man theme..thats how we are we can love 1 &amp; atracted by another at he same time..Plz don't judge in -ve way.
<br />
<br />

hiyo 'WE' ni wewe na nani? Ila oa ambaye unampenda sio unayemtamani maana unayemtamani utamkinai utatamani mwingine tena
 
Unatuuliza ......unatutega? Maana wewe ndo unawafahamu. Lazima kuna jibu unalotamani tukupatie. Ua umpendaye kaka!
 
Mwanamke mzuri nihuyo ambaye umepitanae katika hali tofauti aka stand huyo ambaye alishindwa kuvumilia akakuacha huyo hafai kwani ikitokea shida atasepa sasa amua mwenyewe. wanawake wengi wanapenda mazuri tu yakikutokea mabaya wanakukimbia sasa kuwa makini.
 
Huyu ni mzinzi tu anapoteza muda wa Great Thinkers hapa. Yaani unabahatika unampata GF anakupenda na kuwa nawe katika hali zote halafu unachezea shilingi chooni? Ngoja shilingi itumbukie chooni halafu ushuke huko ukaiokote. Kila la hari na umalaya wako.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom