Unaomba ushauri wa nini tena wakati umesema "haijalish hata tuwe folen kama NMB, nitavumilia sababu nampenda sana".
Unaomba ushauri wa nini tena wakati umesema "haijalish hata tuwe folen kama NMB, nitavumilia sababu nampenda sana".
Unaomba ushauri wa nini tena wakati umesema "haijalish hata tuwe folen kama NMB, nitavumilia sababu nampenda sana".
Mbona unajitafutia matatizo hivo?..au ndio wa kwanza kukugegeda ukajua huyo ndio mwisho wa lami, toka ndani ya box!..huyo tayari hakufai,utajisababishia presha bure...au ulimpata kwa tabu?...TUNZA UTU WAKO,kama unaitamani hiyo foleni nenda na usirudi kutulilia hapa kwa matatizo yatakayosababishwa na hili....dont be cheap in that way...
aisee! Yan anataka kujipeleka mwenyewe kwa mdomo wa mamba!? Mh! Kweli kpendacho roho! Loh!