Nipeni ushauri kwa my life partner 😍

Nipeni ushauri kwa my life partner 😍

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,402
Week ijayo tarehe 26 my life partner ni anazaliwa nipeni ushauri nimnunulie nn km zawadi. Hii ni birthday yke ya kwanza kusherehekea pamoja tokea tuwe pamoja. Yeye ni kaka fulani ana appreciate hta km kitu ni kidogo anafurahi sana na hasahau hta km ni kidogo vp. Usinishauri nguo, viatu au saa hivyo nmewah kumpa km zawadi. Sasa nataka nimpe zawadi tofauti iwe ndogo lakin iwe na value. Unanishauri ninunue nn? 😉
 
Week ijayo tarehe 26 my life partner ni anazaliwa nipeni ushauri nimnunulie nn km zawadi. Hii ni birthday yke ya kwanza kusherehekea pamoja tokea tuwe pamoja. Yeye ni kaka fulani ana appreciate hta km kitu ni kidogo anafurahi sana na hasahau hta km ni kidogo vp. Usinishauri nguo, viatu au saa hivyo nmewah kumpa km zawadi. Sasa nataka nimpe zawadi tofauti iwe ndogo lakin iwe na value. Unanishauri ninunue nn?
Mnumulie body spray kama ni mpenzi kutumia.
Au mfanyie surprise mpeleke Mahalia mkakae afu mle na kunywa sehemu tofauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Week ijayo tarehe 26 my life partner ni anazaliwa nipeni ushauri nimnunulie nn km zawadi. Hii ni birthday yke ya kwanza kusherehekea pamoja tokea tuwe pamoja. Yeye ni kaka fulani ana appreciate hta km kitu ni kidogo anafurahi sana na hasahau hta km ni kidogo vp. Usinishauri nguo, viatu au saa hivyo nmewah kumpa km zawadi. Sasa nataka nimpe zawadi tofauti iwe ndogo lakin iwe na value. Unanishauri ninunue nn? 😉

Kiri pendo lako ulilonalo juu yake....wanaume wanapenda kudekewa ati...
 
Back
Top Bottom