Mkuu ni swali samahani lakini.. kwani unafanya utafiti ujue kama huwa kunatoa dhahabu? zote ziko sawa tuu mkuu. Chagua unayehisi anekupoenda na ww unampenda na yeye anakupenda kwa dhati. "Mchagua nazi mwisho huchagua koroma"
yaani bila kuuliza wewe ni mhaya. Nimekugungua kutokana na maandishi yako. Pia ujume wako ukanipa sababu ya kuamini hivyo. Wacha uchafuzi wewe. Tuaita hayo mapenzi kuwa ni ya kitoto (infatuation). Kaa na wa zamani
" Subiri ile kwako ndo utajua unafanya madudu"!!U will always have biased decision and it will end up choosing the right women for others and not for u!!WADAU hali zenu???
nina gf wangu tupo nae zamani, ila apa miezi michache nimekuwa na uhusiano na wengine kwa mda huu, yan ni kweli nawapenda nao wanakubali kuwa nawapenda na wapo tayari kuwaacha wa kwao ili wawe nami, ili wao wanawaswas kama nawadanganya sababu uyu GF wangu nipo nae muda mrefu..
Kiukweli kuna uyu GF mmoja wa nje ana vigezo vyoote abavyo mi navitaka na ninamkubali sana hata katika mambo ya maisha ya baadae yani ni mshauri mzuri.
mwingine yeye ndo mruri balaa ila mjanja japo ana upendo kama wengine ila yeye tukiwa nae kwenye simu wanampigia kila mara kumtongoza japo ana msimamo,ila was wangu ktk 10 wanaomtongoza hivi ata mmoja hatamkubalia???
Uyu GF mwenyewe"mamaa' yeye haeleweki yan anfata tu kila nsemacho wkt inabid awe mshauri pia... yan yupo yupo na ndo ana upendo kuliko woooote.
SASA NAITAJI USHAURI WENU WADAU
24 yrs
Hivi hicho kigroup chenu cha watu wanne mmeshapima magonjwa ya zinaa na huwa mnarudia kupima tena? Kama bado, huwa unatumia kondomu kila unapokuwa unajamiiana na hao masweetheart wako?
WADAU hali zenu???
nina gf wangu tupo nae zamani, ila apa miezi michache nimekuwa na uhusiano na wengine kwa mda huu, yan ni kweli nawapenda nao wanakubali kuwa nawapenda na wapo tayari kuwaacha wa kwao ili wawe nami, ili wao wanawaswas kama nawadanganya sababu uyu GF wangu nipo nae muda mrefu..
Kiukweli kuna uyu GF mmoja wa nje ana vigezo vyoote abavyo mi navitaka na ninamkubali sana hata katika mambo ya maisha ya baadae yani ni mshauri mzuri.
mwingine yeye ndo mruri balaa ila mjanja japo ana upendo kama wengine ila yeye tukiwa nae kwenye simu wanampigia kila mara kumtongoza japo ana msimamo,ila was wangu ktk 10 wanaomtongoza hivi ata mmoja hatamkubalia???
Uyu GF mwenyewe"mamaa' yeye haeleweki yan anfata tu kila nsemacho wkt inabid awe mshauri pia... yan yupo yupo na ndo ana upendo kuliko woooote.
SASA NAITAJI USHAURI WENU WADAU
Waonesha bado hujakomaa katika mapenzi, nahisi hata status yako ya H.I.V bado hujaijua... kibaya zaidi hakuna unayempenda kati ya hao wote... Mwisho..."NJOO UFANYIWE MAOMBI"
mpaka mwisho wakat cjado na huyu wa mwisho status yangu kwenye HIV Ilikua poa..
Hayo maombi ndo jambo la msing wap ntafanyiwa unaposema ww