ManengeloNawafaham na mnapenda hela sababu mko karibu na mifuko ya suruali.
We mdada mambo vp bado upo kwa kina mkude simba?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...mie ntajua tu aisee...!naomba niwe mshenga jaman...
We ni mfupi?Mie najua wengi ni smart upstairs...ila tumezidi sana ujanja!...!pagumu tunapenya!lol
We ni mfupi?
MTC | 101| [emoji769]
Wanawake wafupi walinishangaza kwenye ishu moja kwenye kitanda wanahama hama kila kona ya kitanda maana kitanda ni mstatili lakin bado akiangalia kusini anafit akiangalia kaskazini anafit akiangalia magharibi vile vile , sasa sisi wanaume warefu unashtukia magoti yanagonga ukingo wa kitanda, kenyewe kanahama hama tu
Mie najua wengi ni smart upstairs...ila tumezidi sana ujanja!...!pagumu tunapenya!lol
wewe mbona mrefu kbs,Mimi nina 152 cmMie najijua mfupi..ila nikikutana na wafupi mm nakuwa tall😂😂..bt mm mfupi...!kitu kama 156cm hv😢😢😢😢😢!miaka hii ndo nimejikubali...huko nyuma ilikua mwendo wa heels..sasa hv aku✌
wewe mbona mrefu kbs,Mimi nina 152 cm
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawake wafupi walinishangaza kwenye ishu moja kwenye kitanda wanahama hama kila kona ya kitanda maana kitanda ni mstatili lakin bado akiangalia kusini anafit akiangalia kaskazini anafit akiangalia magharibi vile vile , sasa sisi wanaume warefu unashtukia magoti yanagonga ukingo wa kitanda, kenyewe kanahama hama tu
😂😂 najikubali balaa, urefu wangu 152cm na uzito wangu usiozidi 40kg😘😘 basi naonekana kadogo dogo,kumbe mama flani😂😂😂😂😂.ht mm hubby ananidanganyaga ati mm nna height nzuri hahahaa 152?😂😂😂..thts nice...sasa mwenzako nipo chubby sana..!so nazidi kuwa short..😂😂😂 bt am okey
Hahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tutaona mengi Leo hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
KabisaaMkuuu nimecheka saana hii coment ako maana daaah ivo ivo yaani nakorongo langu flani hiviii
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie najua wengi ni smart upstairs...ila tumezidi sana ujanja!...!pagumu tunapenya!lol
HahahahaMie najijua mfupi..ila nikikutana na wafupi mm nakuwa tall[emoji23][emoji23]..bt mm mfupi...!kitu kama 156cm hv[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]!miaka hii ndo nimejikubali...huko nyuma ilikua mwendo wa heels..sasa hv aku[emoji111]
Bwana nakutaniaNipe code mkuu[emoji41][emoji111][emoji848]..yule chaufupi sana jaman ..si yule km mbilikimo[emoji4]
Ko brother,,usiku huwa unachunguza jinsi wanavyohama Hama...wao umbo la kitanda kuwa mstatili au mraba haiwa affect[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha