Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,269
- 40,074
Nipeni njia sahihi ya kumuacha huyu mchepuko...
Lengo la kuachana naye ni ili uchumi wangu utulie nifanye mambo ya msingi na yenye tija.Nimejikuta nikitumia garama zisizokuwa za lazima kugaramia vitu ambavyo havitanisaidia huko uzeeni. Nikimuambia nataka tuwe marafiki wa kawaida tu kwa sasa,ila tusitishe mapenzi...anakuwa analia na kuniuzunisha.mwisho wa siku najikuta nabamiza tu...na mwisho wa uhusiano haufiki.Je wakuu nitumie njia gani ya busara kusitisha huu uhusiano.
Lengo la kuachana naye ni ili uchumi wangu utulie nifanye mambo ya msingi na yenye tija.Nimejikuta nikitumia garama zisizokuwa za lazima kugaramia vitu ambavyo havitanisaidia huko uzeeni. Nikimuambia nataka tuwe marafiki wa kawaida tu kwa sasa,ila tusitishe mapenzi...anakuwa analia na kuniuzunisha.mwisho wa siku najikuta nabamiza tu...na mwisho wa uhusiano haufiki.Je wakuu nitumie njia gani ya busara kusitisha huu uhusiano.