Kumsahau kabisa haiwezekani kwakuwa tayari ana alama ndani ya hisia zako za kimapenzi, kwa kawaida huchukua si chini ya miaka miwili kuweza kuachana kabisa na mtu unayempenda sana..that's why wanasema only time can heal broken hearts...!
During that time utafanya mambo mengi mengine ya kijinga kabisa ili tu umsahau au kumuumiza hisia zake lakini mwishowe your will have to let it go... utaamka Siku moja tu na kusema inatosha then it will come to the end though sometimes with severe damage and a lot of pains
Hebu jikeep bussy,,,, kama umeshapata kazi kuwa bize na kazi yako if not soma vitabu, angalia movie au shinda jf soma thread zote!!!!!!! kama una mtaji fungua biashara hata kama ni ndogo itamkufanya uwe bize,,,,,,, w'end jitoe kula kunywa utakacho.[/Q
bado cjapata kazi ndio nafight nitafute...nachoona ntapopata kazi itakuwa rahisi kumsahau...biashara nimeanza bt huwa natuma mkoani so hainiweki busy sana...
^^
Wenzako wanasema uwe na PLAN B
Ha ha haa wanawake bhana!
Btw nimeshangaa bado kuna wanawake wanajitoa kwa uaminifu kwa mwanaume mmoja.
Pole limi u single una gharama zake..just keep yourself busy
^^
Kumsahau kabisa haiwezekani kwakuwa tayari ana alama ndani ya hisia zako za kimapenzi, kwa kawaida huchukua si chini ya miaka miwili kuweza kuachana kabisa na mtu unayempenda sana..that's why wanasema only time can heal broken hearts...!
During that time utafanya mambo mengi mengine ya kijinga kabisa ili tu umsahau au kumuumiza hisia zake lakini mwishowe your will have to let it go... utaamka Siku moja tu na kusema inatosha then it will come to the end though sometimes with severe damage and a lot of pains
Piga puchu!
amia kwangu maisha yako yatakuwa mazuri sana na hauta juta
Mimi ni msichana nimemaliza chuo mwaka huu,nina boyfriend kwa miaka 2 sasa ila amebadirika sana siku hizi,nampenda sana na sina mwanaume mwngine zaidi yake thou kwao wananijua...naombeni mnipe mbinu za kumsahau sitaki kumtegemea as future husband maana atanisumbua baadaye...plz ur help...natanguliza shukurani...
Hebu jikeep bussy,,,, kama umeshapata kazi kuwa bize na kazi yako if not soma vitabu, angalia movie au shinda jf soma thread zote!!!!!!! kama una mtaji fungua biashara hata kama ni ndogo itamkufanya uwe bize,,,,,,, w'end jitoe kula kunywa utakacho.