Nipeni mawazo mwenzenu?

Nipeni mawazo mwenzenu?

bangra

Member
Joined
Nov 16, 2013
Posts
16
Reaction score
0
Habari jf. Nimekuwa ktk mahusiano na mwanamke mmoja wa kiwanji kwa takribani mwaka sasa ninampenda sana, na nipo mbioni kumuoa lakini nina wasiwasi kama ndoa yetu itadumu maana anatabia ya kusikiliza na kuamini kila anachoambiwa iwe na ndugu au rafiki.
Lakini pia anaonekana na tabia ya kupenda kumcontrol mwanaume maana anaamini yeye yupo sahihi kila wakati.

Lakini pia ni mtu ambaye hana ukarimu kwa wa kitu ambacho kinaonesha hataweza kuishi na ndugu zangu. Hasa kwa sababu kwetu kitu uchoyo hakuna kabisa.

Naombeni mnipe maoni yenu katika hayo na ufahamu wenu wa kabila la wawanji ni watu wa aina gani!
 
Habari jf. Nimekuwa ktk mahusiano na mwanamke mmoja wa kiwanji kwa takribani mwaka sasa ninampenda sana, na nipo mbioni kumuoa lakini nina wasiwasi kama ndoa yetu itadumu maana anatabia ya kusikiliza na kuamini kila anachoambiwa iwe na ndugu au rafiki.
Lakini pia anaonekana na tabia ya kupenda kumcontrol mwanaume maana anaamini yeye yupo sahihi kila wakati.

Lakini pia ni mtu ambaye hana ukarimu kwa wa kitu ambacho kinaonesha hataweza kuishi na ndugu zangu. Hasa kwa sababu kwetu kitu uchoyo hakuna kabisa.

Naombeni mnipe maoni yenu katika hayo na ufahamu wenu wa kabila la wawanji ni watu wa aina gani!

Pole sana! Hivi kuna haja ya kuomba ushauri hapa JF kwa tabia hizi?
 
Habari jf. Nimekuwa ktk mahusiano na mwanamke mmoja wa kiwanji kwa takribani mwaka sasa ninampenda sana, na nipo mbioni kumuoa lakini nina wasiwasi kama ndoa yetu itadumu maana anatabia ya kusikiliza na kuamini kila anachoambiwa iwe na ndugu au rafiki.
Lakini pia anaonekana na tabia ya kupenda kumcontrol mwanaume maana anaamini yeye yupo sahihi kila wakati.

Lakini pia ni mtu ambaye hana ukarimu kwa wa kitu ambacho kinaonesha hataweza kuishi na ndugu zangu. Hasa kwa sababu kwetu kitu uchoyo hakuna kabisa.

Naombeni mnipe maoni yenu katika hayo na ufahamu wenu wa kabila la wawanji ni watu wa aina gani!

Ina maana hao ndugu na rafiki zako unataka kutuambia wanamdanganya? Hao hao wanaomletea taarifa zako hana ukarimu kwao?
 
ye hana zuri hata moja..........

Inawezekana ni sahihi ila nimemvumilia kwa kuwa hana tabia ya umalaya hili ndio zuri kwake na nilimkuta 'sealed' ndo nikaamini mengineyo nitayabadili ila inakuwa ngumu kwa hiyo tabia ya kujiamini on everything.
 
Habari jf. Nimekuwa ktk mahusiano na mwanamke mmoja wa kiwanji kwa takribani mwaka sasa ninampenda sana, na nipo mbioni kumuoa lakini nina wasiwasi kama ndoa yetu itadumu maana anatabia ya kusikiliza na kuamini kila anachoambiwa iwe na ndugu au rafiki.
Lakini pia anaonekana na tabia ya kupenda kumcontrol mwanaume maana anaamini yeye yupo sahihi kila wakati.

Lakini pia ni mtu ambaye hana ukarimu kwa wa kitu ambacho kinaonesha hataweza kuishi na ndugu zangu. Hasa kwa sababu kwetu kitu uchoyo hakuna kabisa.

Naombeni mnipe maoni yenu katika hayo na ufahamu wenu wa kabila la wawanji ni watu wa aina gani!

Hizo attributes ni mbaya sana...they are not what the man want in his wife....run while you still can.
 
Ina maana hao ndugu na rafiki zako unataka kutuambia wanamdanganya? Hao hao wanaomletea taarifa zako hana ukarimu kwao?
I mean wakiwa hata wanazungumzia kitu flani katika maisha yao anachukulia kama icho kitu lazima kiwe katika maisha yetu...
 
Hili ndo tatizo la waomba ushauri wa hapa yaani ameeleza mabay yote kama hana hata zuri lilimvutia yuko naye wa nini mwaka mzima?

Gud... anayo mazuri yake kama matumizi mazuri ya pesa, tabia na usafi wa kila kitu.
 
Gud... anayo mazuri yake kama matumizi mazuri ya pesa, tabia na usafi wa kila kitu.
Hapa tatzo liko kwako na siyo kwake ww ndo unatakiwa kujua unahitaj mke wa aina gani katika maisha yako kama unaona kwa tabia alizonazo haufai unatakiwa kumuacha mapema kabla hamjafika mbali ili na yeye asije kuumia yawezekana anayafanya hayo kwa makusudi au bila kujua au hiyo hizo tabia karithi katika ukoo wao chambua vizuri watu humu watakuambia hafai lakini wewe ndo unajua uzuri wake uko wapi hayo yote yako juu yako ndugu!
 
ungekua mbunge ni sawa na yule anayekosoa bajeti kwa mabovu mengi halafu mwisho anaunga mkono hoja asilimia mia.Achana naye haraka
 
Kwanini mnajaribu kutetea hata kama ni baya? Mtoa mada sio kila mwanamke anafaa kua mke, kwa maelezo yako unaonekana unampenda ila kama hafai kua mke usifanye kosa.

wapi nimemtetea?
 
Back
Top Bottom