Nipeni maujanja waungwana

Kama anapenda beer na sex Nenda nae bar mnunulie beer Halafu usivae kitu ndani ya sketi..akianza kunywa mwambie aingize mkono ndani ya sketi yako smile mwambie 'its all yours today'

Hahaha!! hili zoezi na mie ntajaribu nione
 
mmmh nilikuwa najaribu kuufuatilia huu uzi ili angalau na mm nijue zawadi gani ni nzuri hata kama sio kwa birthday lakini aah hizi zawadi zinazopendekezwa hapa zinanitisha
 
Zawadi gani nzuri unaeza mpa boyfrend wako katika siku yake ya kuzaliwa.
Au
Wanaume mnapendelea zawad gani ktk kusherehekea siku ya kuzaliwa?

..men have only three basic needs,, namely:
1. food
2. sex
3. silence
its easy
 
Kama anapenda beer na sex Nenda nae bar mnunulie beer Halafu usivae kitu ndani ya sketi..akianza kunywa mwambie aingize mkono ndani ya sketi yako smile mwambie 'its all yours today'

Dah,hii imenikosha mkuu...
 
Mpe Blow.job ya nguvu

Nakuhakikishia kesho yake atakupeleka kwa wakwe
 
Mchomee viazi vitamu viwili mfungie kwenye box atafurah mno
 

Asante iyo nyimbo nimeipenda ntamtumia bday boy
 
Last edited by a moderator:
Mh kwa mfano mm ni complicated wala cjielewi.ila du suprise him wth cake umuimbie
 
Zawadi gani nzuri unaeza mpa boyfrend wako katika siku yake ya kuzaliwa.
Au
Wanaume mnapendelea zawad gani ktk kusherehekea siku ya kuzaliwa?

Mtafutie nguo anazopenda na viatu. D


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Mpelekee kitabu cha dini ake!! Itakua poa kwel
 
Mchezo anapewa mara nyingi jaman.chakula cha kupika mimi ni adimu
Hata kama unampa kila siku siku hio ongeza cha tofauti kidogo na mbwembwe zaidi kama kukuta chumba kina maua rose kuanzia bafuni mpaka kwa bed red wine ikiwa kwa kitanda na zawadi ya leso ikiwa na maneno matamu, hakikisha anaanza fungua chumba yeye na siku hiyo mchana mzingue hata kwa kugombana kidogo ili asikumbuke mambo ya siku yake ya kuzaliwa
 
hata boxer, au T-shirt poa tu. Usitumie garama kubwa haina maana.
 
Hahahaaaa.vyumba vyenyewe vya uswaz bafu liko mbaaali na tunashea ayo maua c watanishangaa.asante lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…