Nipe Tv Chogo + 350,000 nikupe Samsung flat nch 32

Nipe Tv Chogo + 350,000 nikupe Samsung flat nch 32

abuuh yazeed

Member
Joined
Nov 4, 2016
Posts
50
Reaction score
14
Habari gani wananchi wa awamu ya tano?
Nina Tv samsung flat Nch 32 imetumika miezi 8 tu, nataka tv chogo kwanzia Nch 21 pamoja na 350,000/= nikuachie hii flat maana nataka nifungue kibanda cha mpira.
Niko Singida
Nicheki No: 0652-902994 kwa mawasiliano na picha

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
b485edbf9dc063e310240a9fcdd637b6.jpg
a006009a32185e09a05e1929b1e6b7f9.jpg
6082e97cfd8f2b8fccc15d85ab7eb4f0.jpg
82c16d096955dbd5ec2437f594c8af32.jpg
 
Nina tv chogo kubwa inafaa sana kwa shughuli hiyo lkn sihitaji flat screen coz ninayo pia

Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
 
Picha ya hiyo flat yako kwanza tuamue kutamani au kususa

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Habari gani wananchi wa awamu ya tano?
Nina Tv samsung flat Nch 32 imetumika miezi 8 tu, nataka tv chogo kwanzia Nch 21 pamoja na 350,000/= nikuachie hii flat maana nataka nifungue kibanda cha mpira.
Niko Singida
Nicheki No: 0652-902994 kwa mawasiliano na picha

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
Mkuu nakupa tv chogo na laki2 fasta kama uko interested tufanye biashara.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nakupa tv chogo na laki2 fasta kama uko interested tufanye biashara.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Nipe 300 mwisho mkuu

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
 
Dah jamaa anaifanya tv flat kuwa mtaji-- kwanza anapata tv nyingine then pesa iliyobaki ananunua dstv na nyingine anatengenezea bench na kukodishia ukumbi kwa mwezi

Sent from my GT-I9105P using JamiiForums mobile app
 
Dah jamaa anaifanya tv flat kuwa mtaji-- kwanza anapata tv nyingine then pesa iliyobaki ananunua dstv na nyingine anatengenezea bench na kukodishia ukumbi kwa mwezi

Sent from my GT-I9105P using JamiiForums mobile app
Hahahaaaa!! we jamaa una mahesabu makali sanaa, lakini nshanunua vyote hivyo ila kwa eneo nilipo Flat Screen sio Muhimu maana ni Peripheral.

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
 
mkuu usibane sana mambo sio mazuri

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Ongeza hiyo 100 bhana Big Man Darem ubandike kitu ukutani unacheki series na mama watoto huku unakula Pop Corn na Juice

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
 
Ongeza hiyo 100 bhana Big Man Darem ubandike kitu ukutani unacheki series na mama watoto huku unakula Pop Corn na Juice

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
Huko parefu sana mkuu

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Njoo Amazing lifestyle flat screen kuanzia Tshs 350000

Sent from my SM-A700H using JamiiForums mobile app
 
Njoo Amazing lifestyle flat screen kuanzia Tshs 350000

Sent from my SM-A700H using JamiiForums mobile app
Wapi huko?
Weka insta name yenu na fb name

Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
 
Hii nilionayo sijui nch ngap ila ni kubwa zile za HITACH.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Nicheki kwa simu tujaribu kuyajenga

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom