BekaNurdin
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,267
- 2,041
Wana JF salaam!
Natarajia kwenda Kiteto tarehe 18/09/2015, sijui mabasi yanayo kwenda huko kutokea DSM.
Pia naomba kujulishwa nauli ni kiasi gani kufika huko ili nisipigwe nauli kubwa na wajanja wa UBT.
Asanteni wadau.
Natarajia kwenda Kiteto tarehe 18/09/2015, sijui mabasi yanayo kwenda huko kutokea DSM.
Pia naomba kujulishwa nauli ni kiasi gani kufika huko ili nisipigwe nauli kubwa na wajanja wa UBT.
Asanteni wadau.