Luv
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 2,740
- 6,114
Muongo huyo...ila na sie tumeamua kumjibu kwa style alokuja nayo
Umeonaee bila hivyo tutakuwa hatuendi nae sawa
Muongo huyo...ila na sie tumeamua kumjibu kwa style alokuja nayo
Lakini kichwa cha habari ameandika "niokoeni jamani" hapo pia ni mfano?
Watajua umerukwa na akili kwa kifo cha bibi ila hawatajua tu uliingiaje humo na saa ngapi kila mtu anajua pilika za msibani ni nyingi hakuna mtu maalum wa kumlinda mwenzakeSasa wakija nifuma waombolezaji nipo uvunguni afu nipo na suti yangu ya Adam! Huoni utakuwa msala@Eve
So,una'report kutoka chini ya uvungu till now???!!