Nioe au nijenge kwanza?!

Nataka nijenge kabla vitu vingi havijaingiliana,,itajikuta unahama kila mara katika nyumba za kupanga mkuu
Utajenga sawa, ila sio nyumba ya ndoto yako, baadaye majirani zako wakija kuporomosha mijengo ya maana utatamani uhame ukapange au uuze, fikiri upya hulazimishwi, ya kuambiwa changanya na yako.
 
Kuoa na kujenga havihusiani
 
Ukipata mtu mnaoendana pamoja, mnaweza kujenga pamoja. Ila usali sana ili umpate mtu wa namna hiyo. Mchakarikaji kama wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…