Nioe au nijenge kwanza?!

Umesema hauna mchumba!! Utamuoa nan! Sasa

Na achana na walee wachumba wa kutafuta, mchumba wa kweli analetwa na M:Mungu inabidi utulivu mwingi sanaa mkuu
 
Usithubutu kujenga Wala kuoa, kwanza nakushauri uuze hicho kiwanja uende kitambaa Cheupe ukale Bata maisha mafupi haya.

Unasema story za kujenga vipi Kama ukienda kununua bati afu kwa bahati mbaya zikakukata ukaumia utamlaumu Nani? Achana na hizo mambo we kula Bata life is too short.
 
Umesema hauna mchumba!! Utamuoa nan! Sasa

Na achana na walee wachumba wa kutafuta, mchumba wa kweli analetwa na M:Mungu inabidi utulivu mwingi sanaa mkuu
Aminaa mkuu,Barikiwa saaaana
Mke mwema mtu hupewa na Bwana

Mithali 19:14
 
lipia twisheni ya kutongoza Kama upo tayari nikupe control number ada ni laki mbili tu ila unalipia kwa installment ukishajua kutongoza na ukapata demu ndo uamue unajenga au unaoa kwanza
Wee mkuu!
 
Umri wako huo kibongobongo ukiingia kwenye NDOA Kuna changamoto utazipata, Fanya maendeleo Kwanza mf Jenga Kwanza utaona tu NDOA hiyo hapo

Achana na Hao wazushi wanasema eti oa Kwanza na milango ya baraka itafunguliwa, baraka zipi hizo zinatokana na NDOA?

Wakupe mifano ya watu walipooa tu basi wakajenga majumba ya kifahari na sio kupanga tofali,

Baada ya kuoa tu, basi wakaweza Kununua mandinga Kama ma BMW na Mercedes Benz brand new kutokana na baraka za NDOA 😂
 
Oa utakuja kunishukuru baadae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…