Ninunue simu ipi

Samahani Chief
Na simu ya 4GB ,8GB zinarange kiasi gani free space?
 
Chief-Mkwawa Nawezaje kujua tofauti ya Mwaka. Mf: Series ya s5??
 
Chief-Mkwawa Nawezaje kujua tofauti ya Mwaka. Mf: Series ya s5??
s ni 2010
s2 ni 2011
s3 ni 2012
s4 ni 2013
s5 ni 2014
s6 ni 2015
s7 ni 2016
s8 itakuwa 2017

note 1 yenyewe ilianza 2011
note 2 ni 2012
note 3 ni 2013
note 4 ni 2014
note 5 ni 2015
note 6 ilirukwa
note 7 iliokuwa discontinued ni 2016

hakuna njia maalum ya kuzijua, just google simu husika halafu angalia result ya gsmarena wanaandika simu imetoka lini
 
Ni nzuri eeh??? Ngoja niigoogle
Izo infinix note 3 zinapatikana wapi mkuu na bei yake inakwendaje
 

Kwa hela uliyonayo kanunue mpya kbs dukani tigo wanazo samsungu galaxy grand prime plus latest na itakusaidia!inasifa zote ambazo am sure zitakufaaa
 
Kwa hela uliyonayo kanunue mpya kbs dukani tigo wanazo samsungu galaxy grand prime plus latest na itakusaidia!inasifa zote ambazo am sure zitakufaaa
jina jengine j2 prime, soc mediatek, hii ni dhaifu kwa j5 na hata kioo chake sio HD
 
Asante chief kwa mara nyingine,nitajitahidi nipate j5.

Hivi s4 na note 4 ni bei gani?
 
Chief am sorry nakuuliza tena,kwa hiyo budget yangu ni samsung series ipi ambayo itanifaa kwa camera ikiwa mpya.

I mean kati ya j series,note series,s series etc ni series ipi ambayo camera ni best.
Wewe hapo kwa max bajet yako ya 300k unapata Jseries ambayo

Eidha J2 ....mpya duka au J1 ace au J1 -2016, hizi J1 mbilia zitakua around 200k to 230k
 
Yaan simu ya 300k camera izidi ya S na note
Nimesema note na s series kwa ujumla sio lazima ziwe za mwaka huu kwani si kuna s3,s4 na kuendelea. Pia si kuna note 1,note 2, note 3 na kuendelea au.
 
Samahani boss mimi nimetokea kuzipenda Simu aina ya LG haswa LG G2 samahani unaweza nielezea kidogo kuhusu mapungufu yake Chief..???
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…