Hua unaishia kusoma jina la simu tu au laah.manke mara nyingi zilikotajwa xiaomi na maelekezo ya kuzipata pia hayajafichwa.nenda kwenye uzi wake nilioanzisha mie utajifunza mambo mengi saan
Nmechek specifs zake ni chipest ni media tech mkuu stumii tena cm za mediateck mkuu nmezichoka hizo zinaganda ganda sana harafu camera yake ni ndog sana