Ninunue aina gani ya Tv?

Ninunue aina gani ya Tv?

Mi nna HITACHI, alinunua Bi Mkubwa tangu mwaka 2000, mpaka leo ndo tunaitumia, itabidi ninunue TCL, Maana nmeona mdau anaisifia kwa uBORA ni kama HITACHI
We jichanganye tuu na michina
 
Mi nna HITACHI, alinunua Bi Mkubwa tangu mwaka 2000, mpaka leo ndo tunaitumia, itabidi ninunue TCL, Maana nmeona mdau anaisifia kwa uBORA ni kama HITACHI
so baso unakaa home tu?unakula umeme wa bi mkubwa tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom