Ninunue aina gani ya Tv?

Ninunue aina gani ya Tv?

TCL ndio hitachi za kisasa kiongozi, so kama unaujua ubora wa hitachi ujue utaupata kwa TCL. Wengi hawazijui vizuri zile tv ziko bomba sana halafu ni brand ya kuaminika zaidi.
mbona hitachi bado zipo. wanawadanganya
 
Hbr wana jamvi, nina bajeti ya Tsh 350,000/= Je ni Tv gani nzur ya kununua. ?
Mawazo nilionayo ninunue LG inch 24 au Star X inch 32.
Ushaur wa brand nyingne unaruhusiwa pia?
Asante.
Chukua Star x hutojuta
 
Katika tv za bei rahisi boda lg au tcl ongeza pesa kidogo tu hapo unapata nch 32 lg au tcl
 
Hbr wana jamvi, nina bajeti ya Tsh 350,000/= Je ni Tv gani nzur ya kununua. ?
Mawazo nilionayo ninunue LG inch 24 au Star X inch 32.
Ushaur wa brand nyingne unaruhusiwa pia?
Asante.
NunuA motorola
 
Kweli kaka hizi smart TV za LG zina zingua sana pia spare zake nazo ni shida tu
Una uhakika Ulinunua LG kweli? Maanake kuna watu wanapendaga kununua Ma vitu Used mimi Nilinunua LG UHD 43 kwa I,500,000 haijawahi Kunisumbua pia zina Picha Nzuri sana
 
Una uhakika Ulinunua LG kweli? Maanake kuna watu wanapendaga kununua Ma vitu Used mimi Nilinunua LG UHD 43 kwa I,500,000 haijawahi Kunisumbua pia zina Picha Nzuri sana
Mm nilinunua mwaka 2015 LG 32 ikaunguza taa pia ikavunjika kioo niko Geita mpaka sasa ni miezi minne nahangaika na hizo spare taa na kioo imekua shida mafundi nao ni kupigana tarehe tu mpaka sasa nishapoteza laki mbili na haijapona.
 
Sio lazma tubishane kiongozi.
Acha Kunyea Watu TCL haijawahi Kuwa Hitachi Japo Zote ni Kampuni za Serikali ya China.Otherwise uje Na Ushahidi ili Uiaminishe Dunia Kuwa TCL iliyoanzishwa Mwaka 1988 Ndiyo Hitachi Iliyoanzishwa Mwaka 1910.
 
Mm nilinunua mwaka 2015 LG 32 ikaunguza taa pia ikavunjika kioo niko Geita mpaka sasa ni miezi minne nahangaika na hizo spare taa na kioo imekua shida mafundi nao ni kupigana tarehe tu mpaka sasa nishapoteza laki mbili na haijapona.
Sasa Suala la Wewe Kuvunja Kioo ndiyo Unasema Kwamba ni Mbovu? Suala la Kuvunja Kioo? Suala la Kuvunja Kioo? Suala la Kuvunja Kioo? Suala la Kuvunja Kioo? Suala la Kuvunja Kioo? Kweli?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom