Nimkimbilie nani
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 6,191
- 6,518
Ongeza mpunga chukua Sony
Hizi nyeghe sio nzuri kuziendekezaZuwenna wewe umetulia kuliko hata LG,i need you girl!![]()
Unakaa na TV miaka mitano unataka izaliane? Acha ikamfie tu ili apate akili anunue models latestIla LG baada ya miaka 5 zinaanza kuzingua...Samsung zipo fresh..
Kwa sababu hatujazaliwa wote/pamoja ni rahisi kufuta huu undugu bandia!Dadako!
Unapendaje nduguyo
Unakaa na TV miaka mitano unataka izaliane? Acha ikamfie tu ili apate akili anunue models latest
Aongeze kiasi gani?Ongeza mpunga chukua Sony
Mkuu miaka 5 si unakuwa umeshabadili...Ila LG baada ya miaka 5 zinaanza kuzingua...Samsung zipo fresh..
Mkuu miaka 5 si unakuwa umeshabadili...
Nunua Panasonic ya kichogo iko vizuri na hutojutia pesa yako na unaweza kupata kwa laki moja na ishirini tu pesa nyingine unaweza kuja nikakuuzia majeneza hata mawili maana akiba haiozi na hakuna aijuaye siku wala saaHbr wana jamvi, nina bajeti ya Tsh 350,000/= Je ni Tv gani nzur ya kununua. ?
Mawazo nilionayo ninunue LG inch 24 au Star X inch 32.
Ushaur wa brand nyingne unaruhusiwa pia?
Asante.

Kama anataka akaenayo miaka mingi anunue Hitach eq2430 ile chogo. Atakufa atawachua wanaeunafikiri kila mtu ana kipato kama chako cha kubadili Tv kila mwaka...Most of the Tv ikipit 5 yrs zinaanza kusumbua...ndio maana nikampa ushauri.
Siyo kweli hata LG fresh kabisa TV kuzingua inatokea tuIla LG baada ya miaka 5 zinaanza kuzingua...Samsung zipo fresh..
Acha uongo weye..!unafikiri kila mtu ana kipato kama chako cha kubadili Tv kila mwaka...Most of the Tv ikipit 5 yrs zinaanza kusumbua...ndio maana nikampa ushauri.
Acha uongo weye..!
Mboni mimi nina TV yangu Panasonic nchi 20 ya kichogo inayoonyesha black&white nilinunua mwaka 1996 mpaka leo ndo bado naitumia nyumbani kwangu iko fresh kabisa.
Alaa kumbe hizi za kisasa..!Hapa nazungumzia smart TV... mimi nimekakaa ya chogo pia more than 15yrs...ila hizi za kisasa kuanzia LCD,LED, 4K after 5yrs zinanza kuzingua.
TCL ndio hitachi za kisasa kiongozi, so kama unaujua ubora wa hitachi ujue utaupata kwa TCL. Wengi hawazijui vizuri zile tv ziko bomba sana halafu ni brand ya kuaminika zaidi.hitach bomba sana
Dah aiseeeNunua Panasonic ya kichogo iko vizuri na hutojutia pesa yako na unaweza kupata kwa laki moja na ishirini tu pesa nyingine unaweza kuja nikakuuzia majeneza hata mawili maana akiba haiozi na hakuna aijuaye siku wala saa![]()
![]()
![]()