Ninunue aina gani ya Tv?

Ninunue aina gani ya Tv?

M.jeff

Member
Joined
May 9, 2015
Posts
21
Reaction score
25
Hbr wana jamvi, nina bajeti ya Tsh 350,000/= Je ni Tv gani nzur ya kununua. ?
Mawazo nilionayo ninunue LG inch 24 au Star X inch 32.
Ushaur wa brand nyingne unaruhusiwa pia?
Asante.
 
Hbr wana jamvi, nina bajeti ya Tsh 350,000/= Je ni Tv gani nzur ya kununua. ?
Mawazo nilionayo ninunue LG inch 24 au Star X inch 32.
Ushaur wa brand nyingne unaruhusiwa pia?
Asante.
Nenda kule jukwa la biashara na matangazo madogo madogo kuna uzi maalum wa biashara za tv.....utakutana na magwiji wa kuuza tv za kila aina.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom