Ningelikaa sebuleni niangalie TV. Baadaye, nile chakula alichonipikia mama mkwe bila kusema chochote. Nikimaliza kula, naenda kulala kimya kabisaaa.
Asubuhi, hatakuwepo ndani ya nyumba hiyo kwani atajipa talaka mwenyewe. Mwanamume kelele ndio mwisho wa hasira. Kimya kingi, ndio ushindi mkuu