Nini ufumbuzi wa premature ejeculation kwa mwanaume?

Nini ufumbuzi wa premature ejeculation kwa mwanaume?

miminho

Member
Joined
Feb 15, 2012
Posts
46
Reaction score
7
Habari wa ndugu:

Naomba kufahamu kwa mwanaume mwenye tatizo la premature wakati wa kufanya mapenzi ,hii hali husababishwa na nn ? na ufumbuzi wake ni nn ?

Asante.
 
Zipo sababu nyingi ila common ni sababu za kisaikolojia,misosi hovyo mf chips,timing na technique
 
Habari wa ndugu:

Naomba kufahamu kwa mwanaume mwenye tatizo la premature wakati wa kufanya mapenzi ,hii hali husababishwa na nn ? na ufumbuzi wake ni nn ?

Asante.

Tumia Anasthesia za kupaka kwenye niaje yako...e.g Dragon Mens Delay,LAD lotion e.t.c
Naposema Anasthesia sio kwamba unapigwa ganzi kabisa...hapana bali inapunguza sensation ya uume hivo inaprolong time ya ku-perfom

Najua wengi watapiga porojo za Stamina,Lishe e.tc lkn ukweli ni kwamba hili swala unaitaji pschological counselling au kutumia hizo Anasthesia nilizokwambia...Hii Dragon Delay sex nimeitumia iko bomba sana unakula utamu ipasvyo
 
Fuata link mbili zilizotolewa na Mtambuzi though kuna michango mingi mingine kutoka kwa wadau!
 
Last edited by a moderator:
Tumia Anasthesia za kupaka kwenye niaje yako...e.g Dragon Mens Delay,LAD lotion e.t.c
Naposema Anasthesia sio kwamba unapigwa ganzi kabisa...hapana bali inapunguza sensation ya uume hivo inaprolong time ya ku-perfom

Najua wengi watapiga porojo za Stamina,Lishe e.tc lkn ukweli ni kwamba hili swala unaitaji pschological counselling au kutumia hizo Anasthesia nilizokwambia...Hii Dragon Delay sex nimeitumia iko bomba sana unakula utamu ipasvyo

Safi mkuu....zinapatikana wapi hizi sasa asee...mean pharmacy or?
 
Naposema Anasthesia sio kwamba unapigwa ganzi kabisa...hapana bali inapunguza sensation ya uume hivo inaprolong time ya ku-perfom...

...Hii Dragon Delay sex nimeitumia iko bomba sana unakula utamu ipasvyo

utamu unaulaje ipasavyo wakati kilacho kimepunguzwa uwezo wa kufurahia kula.

Kufika mwisho ndo lengo lenyewe, ukiwahi jitahidi kufika mara nyingi kadri iwezekanavyo.
 
Safi mkuu....zinapatikana wapi hizi sasa asee...mean pharmacy or?

Kama unatumia PayPal ingia eBay nunua maana hapa Bongo ni adimu
Mm kipindi cha nyuma nilikuwa nawasaidia watu kuziagizza nje ila nikaona ni mambo ya aibu kidogo
$(KGrHqJ,!qgFHJY60(7)BRz0S)6C9Q~~60_12.JPG


385981354_tp.jpg



http://www.ebay.com/itm/LAD-MENS-HE..._MassageOil_US&hash=item1c13bf19cd]LAD LOTION

Super Dragon Soln to premature ejaculation
 
utamu unaulaje ipasavyo wakati kilacho kimepunguzwa uwezo wa kufurahia kula.

Kufika mwisho ndo lengo lenyewe, ukiwahi jitahidi kufika mara nyingi kadri iwezekanavyo.

wewe haujui mechanism bado
Yaani mtu anayechelewa kupizi ni kwamba SENSITIVITY ya Ubo.o wake iko chini
sasa hizi dawa zinapunguza Ile sensitivy na utamu unakula kawaida
Maana premature ejaculation mtu ile sensitivity yake inakuwa Above THRESH HOLD
 
Tumia Anasthesia za kupaka kwenye niaje yako...e.g Dragon Mens Delay,LAD lotion e.t.c
Naposema Anasthesia sio kwamba unapigwa ganzi kabisa...hapana bali inapunguza sensation ya uume hivo inaprolong time ya ku-perfom

Najua wengi watapiga porojo za Stamina,Lishe e.tc lkn ukweli ni kwamba hili swala unaitaji pschological counselling au kutumia hizo Anasthesia nilizokwambia...Hii Dragon Delay sex nimeitumia iko bomba sana unakula utamu ipasvyo

Hayo madawa ya kidhungu yana adhari nyingi za kiafya si bora atumie ile dawa ya miti shamba kutoka katika misitu ya CONGO iitwayo MWANA UKOME, hiyo unaweza kwenda mwendo wa dakika 45 mpaka 55 wadhungu hawajatoka..............

Anayetafuta hii dawa ani PM fasta.
 
...bora atumie ile dawa ya miti shamba kutoka katika misitu ya CONGO iitwayo MWANA UKOME, hiyo unaweza kwenda mwendo wa dakika 45 mpaka 55 wadhungu hawajatoka..............

Hizi dawa nyingine zikipata mwanaume wa shoka ambaye hutumia hiyo midakika pasipo enhancements zozote lazima mtu akimbie na kyupi mkononi...
 
Hayo madawa ya kidhungu yana adhari nyingi za kiafya si bora atumie ile dawa ya miti shamba kutoka katika misitu ya CONGO iitwayo MWANA UKOME, hiyo unaweza kwenda mwendo wa dakika 45 mpaka 55 wadhungu hawajatoka..............

Anayetafuta hii dawa ani PM fasta.

nani kakudaganya mitishamba haina madhara....kawaulize waliosoma alternative medicine
wakwamboe ukweli
Afterall dawa ni for external use only
Above all ethics umevunja ...haurusiwi kuponda biashara ya wazungu ili kutangaza dawa zako ambazo unataka watu wakufuate PM...hapo tutakapokuwa na mashaka juu ya ulichokisema
 
Back
Top Bottom