Maswali haya ya ajabu sana! JK ni rais na anauwezo wa kufanya lolote lile!
JF haina uwezo wa kufanya chochote kile kwa namna yoyote ile zaidi ya kuandika tu humu.
Tunaposema jamani pigeni kampeni, waelezeni watu habari njema ya wokovu ya kuwa ccm IONDOKE MADARAKANI huwa hamfanyi, mnasubiri kuuliza maswali kama haya
JK ana dola, ana nguvu, ni rais-ebo!!! he can do anything in his capacity ili mradi amefuata katiba husika! kama EL na RA wamekuwa wabunge ndio mwazo wa kuwa mawaziri.....This time will never even dare to talk malicious about JK will sit down and ask myself---who voted for these people? ukipata jawabu utagundua ubaya wa hawa watu haupo kwa wala haujulikani kwa watu wote!!!
EL an uwezo wa kuwa waziri, na bado akawa rais 2015-2025!!!! inawezekana tu, CCM wakiweka jiwe bado litapita tu kuwa rais
we need to change NEC tell those who call themselves fighters to do this ASAP , au wakae kimya milele!