Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,313
- 2,657
Wazee nimei flash simu yangu nokia 5310 ktk computer yangu lengo ilikuwa ni kuongeza ufanisi wa ki utendaji wa simu yangu. Mwanzo ilikuwa na v.3 sasa ni v.8 ajabu sasa hivi kila nikijaribu kudownload any apps inaniambia NO CERTFICATE ON SIM OR PHONE.japo ukienda ktk setting unaziona certficate kibao tu mpaka zingine zinaishia 2016 wazee nisaidieni hii maneno namna ya ku solve.