Nini tatizo kwenye hizi 8gb usb flash

Nini tatizo kwenye hizi 8gb usb flash

kiwi2010

Member
Joined
Nov 30, 2010
Posts
50
Reaction score
11
Ndugu zangu nina usb flash 2 ambazo moja inajina Kingstone data traveler 8GB na ya pili inaitwa Sony 8GB.Tatizo lilopo kwenye hizi flash ni kwamba zinaharibu files ambazo zipo kwenye format ya audio,video na software ambazo sio static().Sasa wataalam naomba mnisaidie kutatua tatizo hili kwani nimesha zi format pamoja na kuscan kwa kutumia anti virus tofauti lakini tatizo bado linaendelea.
 
One of the computers unazo chomeka hizo usb lavima inakimdudu inafect hizo usb. Scan computer zote ulizopitia alafu labda ujaribu nunua nyingine. USB zinakuwaga na kama hiden format file when its corrupt its not easy fomating it to work properly itakuwa inafanyafanya kwa kubaatisha tuu
 
Kama ni za Kichina za wala usihangaike coz wachina kuna mafile kwenye hizo flash huyafunga yanakuwa sio stabble thats y unaweza ukachukua mafile 20 ya music ukiyahamisha kwenye mashine nyingine utakuta yanapiga mafile matano tu mengine yote yamecorrupt ndio maana ukienda mlimani city 1gb flash inauzwa 35 sh hadi 40,ni kutokana na vitu kama hivyo.
 
Back
Top Bottom