Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Tokea itokee kadhia ya Kudhalilishwa Qur'an na kupelekea kuchomwa na kuharibiwa kwa kamanisa na misikiti huko Mbagala , Tz. Kumekuwa na matamko mbali mbali yaliokuwa yanatolewa na Viongozi mbalimbali wa taasisi na madh'hebu mbalimbali za dini tofauti.
Mpaka sasa tumesikia Tamko la Sheikh Ponda na jumuiya inayoiongoza, Tumesikia Tamko la NCCR mageuzi, Tamko la Anglican, na Tamko la KKKT.
Napenda kuuliza je vipi mbona hatujasikia Tamko la Sheikh Mkuu wa Bakwata? au yeye alimgusi hilo.
Nawasilisha.
maa salaam
Mpaka sasa tumesikia Tamko la Sheikh Ponda na jumuiya inayoiongoza, Tumesikia Tamko la NCCR mageuzi, Tamko la Anglican, na Tamko la KKKT.
Napenda kuuliza je vipi mbona hatujasikia Tamko la Sheikh Mkuu wa Bakwata? au yeye alimgusi hilo.
Nawasilisha.
maa salaam