Nini siri ya Freemasons (Secret Society)

Adam-street-art

New Member
Jun 7, 2017
2
0
Habari zenu wana Jf. Mini ni mtumiaji mpya wa jamii forum ila nina jambo moja linanichanganya na kama kuna mwenye kulijua hili naomba kuelimishwa. Nimekuwa nikisoma habari nyingi kuhusu hawa watu wanaojiita Freemason. Wana history ya kawaida kabisa katika kuanza kwa jamii yao ila nimeshindwa kutambua kiini cha uanzishwaji wa kundi lao ukizingatia kuwa kundi lao limehusisha watu wenye nguvu kubwa kiuchumi kijamii na kisiasa.Wamekuwa wakihubiri dunia huru yenye maamuzi huru kwa kila kitu. Mali na vyote wanadai wanamiliki wao na wanaweza kumpa wamtakae ili hali nikisoma biblia inasema fedha na magari ni mali ya Bwana. Sasa siri yao ni nini? Wanafanya nini? Kwanini wameweza kuteka kundi la watu wenye nguvu duniani? Na dunia huru yenye maamuzi huru maana yake nini? Nimeona kundi kubwa la watu wakiomba kuunganishwa na kundi ilo nikapata wasiwasi kuwa huenda wana nguvu kuliko tunavoweza kufikiria. Naomba msaada Tafadhali.
 
Search humu humu JF utaona nyuzi nyingi tu za Freemasons au kwa jina lingine wanaitwa illuminant
 
Una bahati mbaya sana Aiseeeeeeeh

Maana mkuu wao amefariki miezi miwili iliyopita alikuwa anaitwa Sir Chande wa jijini Dar es salaam .

Ila Kwa kifupi , unachokitafuta utakipata na utakila na ndugu zako maana matokeo yake ni mtiti mkali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom