Nini sababu ya uume kushindwa kusimama?

Nini sababu ya uume kushindwa kusimama?

Fanya huo mchezo kwa muda mrefu alafu ulete marejesho

wewe Rabii90 nimeanza nyeto tangu darasa la saba mpka namaliza degree md pale muhas bado napiga nyeto.
nimekuja kuacha nyeto baada ya kuoa sijaona madhara yake napiga bao 4 za nguvu na mpka sasa nina watoto 2 na hivi sasa mke wng ana mimba.nakula vizuri vyakula vya asili na ninapiga zoezi la kutosha.msisingizie punyeto kuwa ina madhara,kuhusu upungufu wa nguvu za kiume ni tatzo la mtu mwenye sio punyeto.
stress,hormonal imbalance,kisukari,ulaji mbaya,mzunguko mbaya wa damu nk hivyo ndio visababishi vikubwa vya upungufu na ata ukosefu wa nguvu za kiume
 
wewe Rabii90 nimeanza nyeto tangu darasa la saba mpka namaliza degree md pale muhas bado napiga nyeto.
nimekuja kuacha nyeto baada ya kuoa sijaona madhara yake napiga bao 4 za nguvu na mpka sasa nina watoto 2 na hivi sasa mke wng ana mimba.nakula vizuri vyakula vya asili na ninapiga zoezi la kutosha.msisingizie punyeto kuwa ina madhara,kuhusu upungufu wa nguvu za kiume ni tatzo la mtu mwenye sio punyeto.
stress,hormonal imbalance ,kisukari,ulaji mbaya,mzunguko mbaya wa damu nk hivyo ndio visababishi vikubwa vya upungufu na ata ukosefu wa nguvu za kiume
hili ndo tatizo kubwa la udhaifu huu, halafu kitu wasichoelewa watu hili tatizo linaisha kabisa, tatizo wengi ni wana aibu kujieleza kwa daktari, kuna dawa ukipewa unaweza kudindisha mpaka ukahisi maumivu inaitwa mythl testostoren kama sijakosea au upate capsules kwisha habari yake
 
punyeto haisababishi uume kutosimama.
huu mwezi sijachangia sana mada. Leo naomba nikuunge mkono kuwa Punyeto haiharibu nguvu za kiume. Punyeto ni zoezi kwa uume. Staili unayotumia ndo yaweza kuharibu nguvuzo. ni kama mnyanyua nondo holela vile anaweza kujiumiza misuli yake.

Nadhani hali fulani ya mwanamke huchangia uume kusinyaa. wangu uliwahi kusinyaa baada ya kumtanua miguu mwanamke fulani na kuona vimavi! mmfuuu
 
Fanya huo mchezo kwa muda mrefu alafu ulete marejesho
Nafikiri hujafanya utafiti wowote kuhusu hilo zoezi, bilashaka umeongea kwa hisia tu au aliyekwambia alikupotosha kuhusu zoezi zima la punyeto.
 
Kahawa kama ni kwelii ,, basi watu wa bukoba wangekuwa ndo subject ,, make kahawa inapigwaa asubuh na jion Ila mbona wanawake wao wanadumu na vizazi vinaongezekaa,, mi kahawa tangia nazaliwa mpaka now kituu NDI NDI NDI NDII!!!
 
huu mwezi sijachangia sana mada. Leo naomba nikuunge mkono kuwa Punyeto haiharibu nguvu za kiume. Punyeto ni zoezi kwa uume. Staili unayotumia ndo yaweza kuharibu nguvuzo. ni kama mnyanyua nondo holela vile anaweza kujiumiza misuli yake.

Nadhani hali fulani ya mwanamke huchangia uume kusinyaa. wangu uliwahi kusinyaa baada ya kumtanua miguu mwanamke fulani na kuona vimavi! mmfuuu


Mkuu pole sana, I can imagine how demoralized you must have been! Been there,done that! Hawa wanawake warembo watamanini tu hapo njiani,wengine ukipata nafasi ya kuzama ndani hutoamini unachokutana nacho!
 
Mkuu ushawahi kukutana nayo hiyo? Binafsi case kama hyo huwa nakubali kuonekana sina nguvu za kiume aisee... naenda kimoja tu cha kibishi kufidia kidogo zile gharama
Gharama zipi mkuu?
 
hili ndo tatizo kubwa la udhaifu huu, halafu kitu wasichoelewa watu hili tatizo linaisha kabisa, tatizo wengi ni wana aibu kujieleza kwa daktari, kuna dawa ukipewa unaweza kudindisha mpaka ukahisi maumivu inaitwa mythl testostoren kama sijakosea au upate capsules kwisha habari yake
Inapatikana wapi?? Vipi bei yake?
 
Back
Top Bottom