Nini sababu ya dunia nzima kutikiswa na Marekani?

Nini sababu ya dunia nzima kutikiswa na Marekani?

wa4

Senior Member
Joined
Jul 2, 2016
Posts
158
Reaction score
65
WanaJF, kwa imani yangu ya kikristo Marekani ndio mtawala wa mwisho wa dunia hii, naamini hakuna taifa lingine litakaloiangusha Marekani kwa vita au njia yoyote ile mpaka siku ya kiama kutokana na utabiri wa biblia na kama kuna mtu abishaye adhihirishe kwa kutueleza sababu za dunia nzima kufuatilia na kutikiswa na matukio ya Marekani.

Nawasilisha wakuu.
 
Hamna kitu kama hiyo. ..dah jamani. .
 
kuna taifa kubwa litaangushwa na hapo dunia nd itakuwa mwisho.
 
Wana jf kwa imani yangu ya kikristo marekani ndo mtawala wa mwisho wa dunia hii, naamini hakuna taifa lingine litakaloiangusha marekani Kwa vita au njia yoyote Ile mpaka siku ya kiana kutokana na utabiri wa biblia na Kama kuna mtu abishaye adhihirishe kwa kutueleza sababu za dunia nzima kufuatilia na kutikiswa na matukio ya marekani. Nawasilisha wakuu.
Hii topic ni kwa wakristo tu ama??

Maana ushahidi wako juu ya mada uliyoileta ni utabiri wa kibiblia kitabu cha wakristo.

Hapa upepo utachafuka wakija wenye imani tofauti na yako halafu maono yawe ni tofauti kila mtu akileta ushahidi wa kiimani kwa mujibu wa kitabu chake..!!

Chambilecho msije mkatukaniana dini zenu waungwana...

[HASHTAG]#HALAFU[/HASHTAG] HEADING NA CONTENT NI TOFAUTI...
 
Hili swali lingeweza kujibiwa kikawaida kabisa kwa kutumia tu akili, ila kwa kua ushaweka udini ndani yake basi sahau maana ni vigumu kuleta logical argument kwa watu wa dini, kama kuna kitu nimejifunza ni kua hua mnataka muambiwe ambacho mnakiamini, mkiambiwa otherwise hua mnakuja juu fasta sana.
 
Wana jf kwa imani yangu ya kikristo marekani ndo mtawala wa mwisho wa dunia hii, naamini hakuna taifa lingine litakaloiangusha marekani Kwa vita au njia yoyote Ile mpaka siku ya kiana kutokana na utabiri wa biblia na Kama kuna mtu abishaye adhihirishe kwa kutueleza sababu za dunia nzima kufuatilia na kutikiswa na matukio ya marekani. Nawasilisha wakuu.

Hizi Biblia nazo wakati mwingine zinatutia Upofu, Someni Biblia Kiundani na sio mnasoma juu juu tu halafu mnakuja na conclusion za kipuuzi.
 
Hii topic ni kwa wakristo tu ama??

Maana ushahidi wako juu ya mada uliyoileta ni utabiri wa kibiblia kitabu cha wakristo.

Hapa upepo utachafuka wakija wenye imani tofauti na yako halafu maono yawe ni tofauti kila mtu akileta ushahidi wa kiimani kwa mujibu wa kitabu chake..!!

Chambilecho msije mkatukaniana dini zenu waungwana...

[HASHTAG]#HALAFU[/HASHTAG] HEADING NA CONTENT NI TOFAUTI...
Tuache matusi na jazba
 
Wana jf kwa imani yangu ya kikristo marekani ndo mtawala wa mwisho wa dunia hii, naamini hakuna taifa lingine litakaloiangusha marekani Kwa vita au njia yoyote Ile mpaka siku ya kiana kutokana na utabiri wa biblia na Kama kuna mtu abishaye adhihirishe kwa kutueleza sababu za dunia nzima kufuatilia na kutikiswa na matukio ya marekani. Nawasilisha wakuu.
Kama empire zote zilianguka (Persian Empire, Roman Empire...) USA itaangakuka tu. Utani tu, ila ukiangalia USA wanacompetition, tena za kibabe kama Russia, China na India. Kwa mfano Russia wakijoin forces na China, USA inatolewa kwenye uso wa dunia. I hope that won't happen, cause kama kuna nuclear war ndo end of the world.

Africa kama tungeungana tungekuwa bonge la army. Africa kubwa kuliko USA. Sema nasisi tuna majanga yetu, nchi kama Tanzania(peaceful country) haiwezi kukubali kuungana na Congo DRC ambapo hata maana ya peaceful hawaijui, wenyewe Kila siku vifo.

For now, yes USA is powerful, but countries kama Russia zinaitishia Amani.

-callmeGhost
 
Hili swali lingeweza kujibiwa kikawaida kabisa kwa kutumia tu akili, ila kwa kua ushaweka udini ndani yake basi sahau maana ni vigumu kuleta logical argument kwa watu wa dini, kama kuna kitu nimejifunza ni kua hua mnataka muambiwe ambacho mnakiamini, mkiambiwa otherwise hua mnakuja juu fasta sana.
Mtazamo wako mkuu
 
Ufunuo 17:10
Kuna wafalme 7
Watano wameanguka,Mmoja yupo,mmoja hajaja na akifika atadumu kwa mda mfupi.
Watano=Misri,Ashuru(Assyria),Babilon,Mede-Persia,Greece
Mmoja=Rome
Hajafika(Tayar amefika)Anglo-America
 
 

Attachments

  • 1479546271317.jpg
    1479546271317.jpg
    62.6 KB · Views: 55
Wana jf kwa imani yangu ya kikristo marekani ndo mtawala wa mwisho wa dunia hii, naamini hakuna taifa lingine litakaloiangusha marekani Kwa vita au njia yoyote Ile mpaka siku ya kiana kutokana na utabiri wa biblia na Kama kuna mtu abishaye adhihirishe kwa kutueleza sababu za dunia nzima kufuatilia na kutikiswa na matukio ya marekani. Nawasilisha wakuu.
Leo wikend tunahitaji kuturiza kichwa,hizi post zingine za dalasa LA 2,unatupunguzia mb zetu bwana.kwa sasa USA ni ya kawaida tu kiuchumi hata kivita ndio maana bwana trump kaulimbiu yake to make USA greater again
 
Leo wikend tunahitaji kuturiza kichwa,hizi post zingine za dalasa LA 2,unatupunguzia mb zetu bwana.kwa sasa USA ni ya kawaida tu kiuchumi hata kivita ndio maana bwana trump kaulimbiu yake to make USA greater again
Mkuu hongera kwa university
 
Hamna kitu kama hiyo. ..dah jamani. .
Unasoma bibilia gani mkuu iliyomtabiri mmarekani??.
Someni kitabu chote cha Ufunuo wa Yohana, kuna sehemu mtaona ukweli kuhusu Marekani, angalizo, Biblia siyo kitabu cha hadithi, kuielewa unatakiwa uwe na hekima ya Ki Mungu, na siyo Upu*mbavu wa ki ccm hapo hutajua lolote.
 
Mtoa mada jaribu kuangalia vituo vya television tofauti tofauti usiangalie ITV,Clouds TV pekee kaka utaishia hapo ulipoona ndo mwisho Wa uelewa wako kuna mataifa makubwa zaidi ya USA na yapo vizuri kiuchumi na military bases
 
Wana jf kwa imani yangu ya kikristo marekani ndo mtawala wa mwisho wa dunia hii, naamini hakuna taifa lingine litakaloiangusha marekani Kwa vita au njia yoyote Ile mpaka siku ya kiana kutokana na utabiri wa biblia na Kama kuna mtu abishaye adhihirishe kwa kutueleza sababu za dunia nzima kufuatilia na kutikiswa na matukio ya marekani. Nawasilisha wakuu.
Marekani inaitwaje kwa lugha ya Kibiblia
 
Back
Top Bottom