Nini sababu Dar kuburuza mkia matokeo kidato cha nne 2016 ?

kson m

JF-Expert Member
Jan 24, 2014
6,648
3,003
Mkoa wa DSM umetoa shule sita za mwisho kwenye matokeo ya kidato cha nne-mitihani iliyofanyika 2016 na matokeo kutoka siku chache zilizopita.licha ya mkoa huu kuwa na makao makuu ya mamlaka zote za wadau wa elimu ,mkoa umedondokea pua.ni nini hasa kimechangia matokeo kuwa yalivyo?
 
Shule nyingi ziko mbali na maeneo ya makazi ya wanafunzi, na ukilinganishana adha ya usafiri ndio balaa
Suala la tabia linasababishwa hasa makundi mawili wazazi na walimu pia, usimamizi wa wazazi umekuwa duni kabisa.
Kwa walimu baada ya walimu kutokutoa adhabu hilo limechangia sana ...
Nini kifanyike, sio kwa dar tu kote:
1. Wanafunzi wapangwe katika shule ambazo zipo karibu na majumba yao
2. Adhabu za viboko irejeshwe maahuleni
3. Wazazi washiriki katika maendeleo ya watoto wakishirikiana na walimu
4. Masomo ya ziada yafanyike shule kwa wazazi kuchangia kiasi kidogo..
5. Wazazi washirikiane na serikali kujenga mabweni na nyumba za walimu
 
1:-Fiesta

2:- hawaendi kanisani kumuomba Mungu/Yesu

3:- Dansi mia mia.

4:-Vibint-watoto wa dar wanajisifia namna wanavyotoa bikra za watoto kwa niaba ya vijana wa mkoani,its okay wa mkoani anaoa asiye Bikra ila Mwisho wa siku mtoto wa Dar unaishiwa kuchapiwa!
 
Umbali,kuna shule inaitwa nyeburu iko mbali sana kutoka gongo la mboto alafu kuna madogo wanatoka mbagala kwenda kusoma uko,na shule nyingi za kata hata umeme ni tatizo maabara walimu ndio kama hivi kuna upungufu na ajira zimesimamishwa
 
Kwakua tunadili n washukiwa w kutumia madawa ya kulevya n uzaji wake.
 
Mkuu wao wa mk..., a badala afatile taaluma ya mkoa wake kazi kutafuta kiki ya kufatilia maisha ya watu pyeeeeeeeeee
 
MAIN REASONS...
-umbali wa shule
-waalimu wa mjin wanajal sana shugul zao binafs kuliko wanafunz(serekali iangalie mishahara ya waalimu)
MINOR REASONS
-Beating issue
-matamasha ya kila weekend(cjui after school bash,dance mia mia,etc)
 
Back
Top Bottom