Nini sababu Dar kuburuza mkia matokeo kidato cha nne 2016 ?

Leo watu wanaliona tatizo la kufeli kuwa lina sababu zake kwa kuwa imetokea DSM,lakini jana na juzi hatukuyajua hayo wakati Mtwara na kwingineko walipopata matokeo mabaya.Suala la elimu limegeuka kuwa la kisiasa kiasi ukweli hausemwi.Asiye na utaalam wa elimu anaibuka na maamuzi ilhali DEO/DSEO, REO wapo.Sasa kuna haja gani ya kuwa nao kama hatuwaamini na hatuwasikilizi?
Nafarijika kuona DSM wako hapo,huenda ikawa ni sababu ya wadau na serikali kuiangalia elimu kwa jicho la tatu.
Nawasilisha.
 
Mkoa wa DSM umetoa shule sita za mwisho kwenye matokeo ya kidato cha nne-mitihani iliyofanyika 2016 na matokeo kutoka siku chache zilizopita.licha ya mkoa huu kuwa na makao makuu ya mamlaka zote za wadau wa elimu ,mkoa umedondokea pua.ni nini hasa kimechangia matokeo kuwa yalivyo?
usafiri hiii ni changamoto sana hapa dar selection za watt kwenda o level haziangalii mtt anaishi wap anapelekwa wap inakua kama bahati nasibu hv hasa kwa wale wenye matokeo ya average
mtt anaamka saa kumi ili afike saa moja shule kukwepa foleni za jiji wakiruhusiwa saa 8 anakuja kufika kwao hadi saa 1 hapo mtu kachoka ajafua nguo za kesho ile tabia ya kuskip kujisomea inakua mazoea mwisho wa siku mtu anaambulia zero
ntakupa mfano leo nimekutana na mtt wa form 2 anakaa tbt anasoma tgeta anarudi kwao saa mbili usiku wameruhusiwa saa 8 mchana halafu kesho unakaaa unuomba mungu mwanao apate div 1
 
Dar kelele nyingi acha idharaulike na bado *****... acha madogo wa"beti.. acha wakeshe instagram.. acha wajue gesti kabla ya umri wao.. acha wacheze singeli... sisi tunasubiria zero tu...!!!
 
nadhani sasa mkuu wa mkoa atapata muda wa kufuatilia na kutoa tamko baada ya kumpata kamishna wa kuongoza mapambano dhidi ya madawa ya kulevya.
 
Mkoa wa DSM umetoa shule sita za mwisho kwenye matokeo ya kidato cha nne-mitihani iliyofanyika 2016 na matokeo kutoka siku chache zilizopita.licha ya mkoa huu kuwa na makao makuu ya mamlaka zote za wadau wa elimu ,mkoa umedondokea pua.ni nini hasa kimechangia matokeo kuwa yalivyo?
a] BETTING
b] utandawazi specifically smartphones
c] mapenzi
d] malezi mabovu ya wazazi yaani chochote mtoto akitaka mzazi unanunua bila kujali its side effect
 
Daar,,
Watoto hawajawekeza kabisa muda wao na bidii kwenye elimu
1.wanaangaikia kuonekana kama bongomovie mda wote
2.wanafikilia visinger tu
3.wanafunzi wanafikiria mitindo na mionekano tu, wanahsi wanaenda na nyakati
 
Back
Top Bottom