Labda na ww mwenyewe pun..nga
Kuwa na mtoto kama wewe ni bora kuwa na debe la mahindi ndani utasaga upike ugali
Melodrama +fantacy
Aisee sina ushauri kweli umerogwa unakuta.demu wako.anabanduliwa na.wewe.usituki aisee ni shida pole sana.hii ndo dunia
Ndiye huyu huyu uliyeleta thread juzi hapa "Kwa nilichokiona usiku huu kwa huyu mwanamke nahairisha rasmi ndoa yangu ya Disemba 2015"?
Anyway, nilikuwa nikiheshimu "sredi", post zako sana jukwaani.
Duh! Aisee Watu Inaonekana Mnanifuatilia Mno Hadi Kupita Kiasi. Mtanitisha Sasa!
Acha kutudanganya, umetoka kazini saa saba mchana!! ulikua korokoroni??:wacko::wacko: