hamjambo wana JF poleni na majukumu kwa mulio katika payroll ya serikali and poleni kwa wale muendeleao kutafuta hiyo system. mimi nimeitwa kazi utumishi naelekea Halmashauri ya Singida. nataka kujua ni allowence zipi na kiasi gani zinatolewa kwa mtumishi mpya anaporeport kazini. na inaweza chukua muda gani kama hizo allowence zipo.