rootsquare
Member
- Sep 30, 2016
- 30
- 48
Habari wana JF
Napenda kuuliza nini madhara kwa mwanaume au faida ni zipi pale mwanaume anakaa muda mrefu bila kufanya mapenzi yaani kukutana na mwanamke kimapenzi.
Ukiacha zile za kusave hela maana najua kuna wengine watasema hivyo wasiopenda kuchunwa
Napenda kuuliza nini madhara kwa mwanaume au faida ni zipi pale mwanaume anakaa muda mrefu bila kufanya mapenzi yaani kukutana na mwanamke kimapenzi.
Ukiacha zile za kusave hela maana najua kuna wengine watasema hivyo wasiopenda kuchunwa