KAGAMEE JF-Expert Member Dec 20, 2013 3,880 4,508 Dec 30, 2013 #1 Jamani kuna madhara ikiwa mtu atakuwa mlaji wa kupindukia wa mayai ya kuku wa Kizungu?
washwa washwa JF-Expert Member Jul 21, 2012 1,613 717 Dec 30, 2013 #2 kwa mwanaume ni kuota maziwa na kama ni mwanamke na ni mjamzito ni kuzaa mtoto asie na nywele
KAGAMEE JF-Expert Member Dec 20, 2013 3,880 4,508 Dec 30, 2013 Thread starter #3 washwa washwa said: kwa mwanaume ni kuota maziwa na kama ni mwanamke na ni mjamzito ni kuzaa mtoto asie na nywele Click to expand... uwiiiii,Mungu wangu!
washwa washwa said: kwa mwanaume ni kuota maziwa na kama ni mwanamke na ni mjamzito ni kuzaa mtoto asie na nywele Click to expand... uwiiiii,Mungu wangu!
nameless girl JF-Expert Member Apr 22, 2012 4,195 2,660 Dec 30, 2013 #4 washwa washwa said: kwa mwanaume ni kuota maziwa na kama ni mwanamke na ni mjamzito ni kuzaa mtoto asie na nywele Click to expand... Mhhhhhh Bora ulog off tu.
washwa washwa said: kwa mwanaume ni kuota maziwa na kama ni mwanamke na ni mjamzito ni kuzaa mtoto asie na nywele Click to expand... Mhhhhhh Bora ulog off tu.