Ni urembo kama urembo mwingine kwa baadhi ya wanawake.Ivi mwanamke kuvaa kikuku(Shango au bangili inayovaliwa mguuni) katika mguu wake inakuwa na maana gani?View attachment 888278![]()
Kwanini unakerekwa kwa urembo wa mtu mwingine?Ni urembo kama urembo mwingine kwa baadhi ya wanawake.
ila kwangu ni tofauti sipendi hii kitu vibaya mno,hua nakereka sana nikiona mwanamke kavaa hivyo.
Sipendi,tangu nilipoona kundi La wanaume wakiwa ktk storyKwanini unakerekwa kwa urembo wa mtu mwingine?
Sipendi,tangu nilipoona kundi La wanaume wakiwa ktk story
Wakagusia aaa vikuku ukiona demu kavaa anatangaza biashara huyo(kudanga)
Basi tangu hapo sivipendi tu haijalishi aliyevaa kavaa kwa maana gani,nakereka tu.
Kuna mitaa kama mwanamke kavaa hiyo Ina manisha Anajiuza hasa yule alovaa mguu mmoja
Alafu mkuu Hiyo picha Haina position nzuri
TULIO WENGI TUNGETARAJIA IPIGE KUELEKE KUTOKA UNYAYO KUELEKEA JUU SIO KUTOKA JUU KWENYE KWENYE UNYAO
Anafugwa huyo. Hivyo, mwenye dau tu ndo aende paleKumbe mguu moja inakuwa ivyo na akivaa miwili ni urembo
Ukweli mtupu. Haupanui mguu bila kupewa chake. Akiwa kwenye mahesabu weye malizana huko utakakoHapo pesa kwanza mkuu maliza yako yote