Ni Mhaya mmoja alisoma Sheria na baadae kuwa wakili ndipo akaenda kwao Bukoba akaona ajipe ujiko zaidi kwasababu Wahaya wengi wamesoma hivyo akasema yeye ni wakili Msomi.
Kuitana msomi ni common law practice, mawakili/wanasheria huitana wasomiwao kwa wao na si kwa mtu nje ya field. Na pia pia Sheria ni dynamic thus wanasheria/mawakili wanasoma muda wote ili kuwa upto date, kwenye Sheria hamna formula au prescribed procedure so they argue tofauti na walimu kuna mitaala, wanasayansi wana formulas n etc, so the term msomi eminated from there