COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,598
- 3,644
Kwani kuna Mawakili wapumbavu?
Nijuavyo mimi ukimaliza shahada ya sheria (BLL) unakuwa mwanasheria.
Ukitaka kuwa Wakili ni lazima uende LAW SCHOOL. Sasa ukimaliza Law school tukikuita WAKILI kuna shida gani?
Kwanini mnalazimisha tuseme WAKILI MSOMI?
Kwani kuna WAKILI MPUMBAVU?
Hebu ndugu zetu punguzeni ulimbukeni kidogo.
Nijuavyo mimi ukimaliza shahada ya sheria (BLL) unakuwa mwanasheria.
Ukitaka kuwa Wakili ni lazima uende LAW SCHOOL. Sasa ukimaliza Law school tukikuita WAKILI kuna shida gani?
Kwanini mnalazimisha tuseme WAKILI MSOMI?
Kwani kuna WAKILI MPUMBAVU?
Hebu ndugu zetu punguzeni ulimbukeni kidogo.