Unapokuwa na serikali ambayo sio ya waadilifu ikitokea ukawajadili jiandae kupotezwa. Hebu angalia uchaguzi ulikuwaje na watanzania wako kimya japo wanajua fika mchakato ulikuwaje. Na chombo chochote kitakachowajadili hao wakora kitapewa adhabu ya kukata na shoka, na wakati mwingine kuwakuta ya Azory.