Nini maana ya uasi?

Nini maana ya uasi?

Uasi una maana gani au tafsiri ipi?

..inategemea neno " uasi " limetumika katika muktadha gani.

..kila neno au kauli inapaswa kutafsiriwa kulingana na muktadha wake.

..kwa mfano mtu anaposema haki " imebakwa" maana yake ni nini?

..Je, inamaanisha kubaki kule kunakohusisha tupu za wanadamu, au kuna maana nyingine?

..MUKTADHA ni muhimu sana.
 
Back
Top Bottom