Wanau natamani kujua maana halisi ya hilo neno tajwa hapo juu maana nalisikia tu wapinzani wanapoomba mikutano ndo polisi wanazuia kwa taarifa za kiitelijensia
Hiv walikuwa wapi kutoa taarifa za kiitelijensia mabomu ya Arusha wakati huo na majanga mengine?!
Au taarifa za kiitelijensia ni kuhusu mikutano tu.Mbona chama tawala au rais anapoongea na wazee wa dar hakuna taarifa hizo
Je polisi wanataka kutuaminisha taarifa za kiitelijensia ni katika mikutano ya upinzani tu au?!Kama kuna intelijensia kweli basi itumike sehemu zote,hiyo intelijensia ya upande mmoja tu wala sijaipenda
Hiv walikuwa wapi kutoa taarifa za kiitelijensia mabomu ya Arusha wakati huo na majanga mengine?!
Au taarifa za kiitelijensia ni kuhusu mikutano tu.Mbona chama tawala au rais anapoongea na wazee wa dar hakuna taarifa hizo
Je polisi wanataka kutuaminisha taarifa za kiitelijensia ni katika mikutano ya upinzani tu au?!Kama kuna intelijensia kweli basi itumike sehemu zote,hiyo intelijensia ya upande mmoja tu wala sijaipenda